Madawa ya Kulevya: Alivyotoroshwa Nurdin Akasha

Mnyamahodzo

JF-Expert Member
May 23, 2008
1,932
985
Salaam wakuu!!

Miaka ya tisini mwanzoni kuna mfanyabiashara mmoja ambaye pia alikuwa akifanya biashara ya dawa za kulevya alikamatwa yeye gari lake. Gari lake hilo (tractor/kichwa) kilikaa muda mrefu sana pale Polisi Kilwa road aka Ufundi. Inasemekana huyu jamaa alitoroshewa Kenya kwa msaada wa wakuu wa Polisi akitokea hospitali.

Tafadhali naomba info zaidi kwa wanaojua.
Ibrahim Akasha alikuwa ni supplier wa madawa kwa ndugu wawili waliokuwa wanaishi Netherlands Magdi Barsoum na Mounir Barsoum, hawa ndugu wawili wakawa wanauza madawa kwa jamaa anaitwa Sam Klepper. Ibrahim Akasha alienda Amsterdam kufuatilia malipo yake baada ya kuuza heroin na madawa mengine kwa mkopo na hakuwa amepokea malipo yoyote, alivyofika kule Magdi Barsoum aliact kama mpatanishi kati ya Akasha na mdaiwa (mafia wa kiyougoslavia). Kabla ya kwenda Amsterdam Ibrahim alianza kuwatishia hao mafia na kumteka mmoja wao hao mafia uko Mombasa na kusema hatomuachia mpaka alipwe malipo yake.

Siku aliyokumbwa na mauti alikuwa anatembea kwenye mtaa unaoitwa Bloedstraat yeye na mkewe Gazi Hayat na baadhi ya marafiki zake wa kikenya, Akasha alipigwa risasi sita na muuaji aliyekuwa kwenye pikipiki.

Sam Klepper aliuliwa miezi mitano baadaye, Magdi Barsoum alipigwa risasi 2002 na Mounir Barsoum alipigwa risasi kwenye mtaa ambao Ibrahim Akasha alipigiwa risasi mwaka 2004 style iliyotumika ni kama iliyotumika kumuua Akasha.

Tukirudi Mombasa mtoto wa Akasha, Kamaldin Akasha alipigwa risasi na kuuliwa mwaka 2002 haijulikani kama alirithi biashara za baba yake au la, kuna mwingine anaitwa Baktash Akasha kila siku yuko kwenye matatizo na sheria na kutwa kutishia tishia watu, mwaka 2011 mkewe alikutwa amekufa katika mazingira ya kutatanisha inasemekana alikuwa anajishirikisha kwenye biashara ya madawa.


Huyo Nurdin Akasha sijui alijificha wapi.
Ref:

The Nation (Kenya) | December 21, 2005

Yugoslav Financed Killing of Kamaldin, Judge Told

Byline: Eunice Machuhi


A suspect in the murder of the son of drug baron Ibrahim Akasha financed the killing, the High Court was told yesterday.

A former Mombasa investigations chief, Mr Iregi Ngatia, told Mr Justice Nicholas Ombija that an informer told him Mr Stojananovic Milan alias Allan, one of three people charged with the murder of Kamaldin Akasha, financed the assassination.

Mr Ngatia also told the court that the informer also told him that Mr Mohammed Omar Abdalla, also on trial for the murder, had shot Kamaldin on March 28, 2002 at his Zamzam petrol station in Makupa.

He was testifying in a case in which Mr Milan, Mr Jackson Waweru and Mr Abdallah have been accused of the murder of Kamaldin Akasha.

Mr Ngatia said Mr Milan and Mr Waweru were arrested last year at the Grand Regency hotel in Nairobi at a meeting with some members of the Akasha family, who included one of the wives of Ibrahim Akasha Hayat and son Tinta.

The detective said he was informed by the Nairobi police boss, Mr King'ori Mwangi, in November last year that a most wanted criminal was at the hotel with the Akashas.

"We found a white man whom I had only seen in pictures talking with the Akashas and Waweru, whom we arrested and locked up."

He said $10,000 dollars (Sh750,000) and a mobile phone was recovered from Mr Milan's pockets and $50,000 (Sh3.7 million) from his hotel room. Mr Waweru's mobile phone was confiscated.

Prior to the arrests, Mr Ngatia said some of the Akasha relatives had been detained due to counter-accusations about the murder of Kamaldin.

Drugs laced with bullets threaten to wipe out the Akashas

February 14th 2009 | The Standard | By Tony Mochama

Four months after he celebrated the new millennium in his palatial Nyali home, in Mombasa, and with charges of possession of hashish worth about Sh1 billion awaiting him in the country, short but viciously dangerous drug baron Ibrahim Akasha was hurrying along Bloedstraat in Amsterdam, hoping to score big cash, two days of living 56, but leaving life.

He had been called to Amsterdam by an Egyptian drug baron called Magdi, in whose luxurious flat he was staying with his Egyptian wife, Hayat, and perhaps she was the last thing on his mind before his brains were blown all over the sidewalks of 'Blood Street' by a bicycle riding assassin who pumped four bullets into his scalp.

Akasha had done well for himself in a life where peace was exchanged for drug pellets and pieces of lead, where the serenity of the sea led to risky, high-stakes, roller-coaster drug transactions across the Coastlands of Africa and South America. And he had the seaside mansions and beach-front villas to show for his sea-salted sweat, as hashish from Afghanistan found its way to Kenya's coast, and then off it went to Holland and other drug holes in Europe, courtesy of the man.

The drug haul of Sh940 million in 2000 was then Kenya's largest ever, and Akasha, of course, had rivals for the lucrative business, especially a Colombian cartel in Europe, one of whose men Akasha had killed.

When the chilled cadaver of the man himself was brought to Kenya, it was reportedly 'manhandled' at the City Mortuary slabs by 'forensic' morticians looking for tell-tale tattoos and scars on Akasha's body, DNA being the three letters missing from the police alphabet then.

And with a few billions at stake, Ibrahim Akasha's sons, brothers and wives were soon involved in a bloody family feud that would see son Tinta Akasha's 15-month-old son, drown in the swimming pool of his Nyali estate, after a police raid, as the maid abandoned him in a panic. This was in 2007.

But it was the shooting of Kamaldin Akasha, at a fuel station in Makupa, in March 2002, that provided the real caper. Apparently, claimed an Akasha offspring - Baktash, Kamaldin had
 
Wakuu, je jina hilo ni geni sana? Kama pana sehemu taarifa nilizoandika ziko mguu pande, niko tayari kurekebishwa.
 
Nurdin Akasha alitoroka akiwa chini ya ulinzi mkali Muhimbili Medical Center (wakati huo) akiwa amejifnya mgonjwa mahututi njama ilikuwa ya viongozi wa ngazi za juu kwani aliwekewa mlinzi wa kike kwa kuwa 'alikuwa mahututi" akiwa chini ya uangalizi wa mamake mchoro ukachezwa akatoroka, hadi leo no trace za Akasha.
 
Walikuwa wanafuta ushahidi wa wafanyabiasha wa dawa hizo ambao wamo katika siasa hapa home.
 
Walikuwa wanafuta ushahidi wa wafanyabiasha wa dawa hizo ambao wamo katika siasa hapa home.

Ilikuwa enzi ya Mwinyi ;na huyo Nurdin Akasha alitorokea Mombasa na hakuna juhudi zozote zilizofanywa kumkamata na mpaka sasa yuko huko akiuza mihadarati kama kawa!!
 
The truth is he was first spotted in Mombasa and reported by Majira newspaper, a prominent daily paper in Tanzania. Immediately this was denied by the police force.

Four years later he was gunned down in Amsterdam or Brussels if am correct.

This story was well covered in the media in the respective country as Akasha was a well known drug baron. Surprisingly, this news was either never reported or didnt get sufficient coverage in the local media in Tanzania.
 
Nurdin Akasha alitoroka akiwa chini ya ulinzi mkali Muhimbili Medical Center (wakati huo) akiwa amejifnya mgonjwa mahututi njama ilikuwa ya viongozi wa ngazi za juu kwani aliwekewa mlinzi wa kike kwa kuwa 'alikuwa mahututi" akiwa chini ya uangalizi wa mamake mchoro ukachezwa akatoroka, hadi leo no trace za Akasha.

Toka lini wenye nazo wakanyea debe?
 
Nurdin Akasha alitoroka akiwa chini ya ulinzi mkali Muhimbili Medical Center (wakati huo) akiwa amejifnya mgonjwa mahututi njama ilikuwa ya viongozi wa ngazi za juu kwani aliwekewa mlinzi wa kike kwa kuwa 'alikuwa mahututi" akiwa chini ya uangalizi wa mamake mchoro ukachezwa akatoroka, hadi leo no trace za Akasha.
<br />
<br />

wakati ule, tulivyoambiwa ni kuwa kuna wakubwa wa Polisi walihusika. Kwa jinsi serikali ya Mwinyi ktk muhula wa pili ilivyokuwa corrupt sina hofu kuwa Ikulu au Wizara ya Mambo ya Ndani walihusika. Hassan Diria alikuwa Mambo ya Nje, je alirukwa?
 
Ilikuwa enzi ya Mwinyi ;na huyo Nurdin Akasha alitorokea Mombasa na hakuna juhudi zozote zilizofanywa kumkamata na mpaka sasa yuko huko akiuza mihadarati kama kawa!!
<br />
<br />
Mkuu, huyu jamaa ni raia wa Tanzania au Kenya? Kama si watanzania, aliingiaje hapa Tz na alikuwa akiishi maeneo gani? Je! Unafahamu lolote kuhusu rafiki au wajuani wake wa karibu?

Tuko pamoja.
 
Polisi,mahakama na jela ni sehemu za masikini..Tajiri akienda mahakamani anaenda kudai fidia au kwa kesi yoyote ya madai. NDIO TANZANIA HII
 
<font size="3">Walikuwa wanafuta ushahidi wa wafanyabiasha wa dawa hizo ambao wamo katika siasa hapa home.</font>
<br />
<br />

Kwa lugha nyingine ni kuwa wapo wanasiasa wanaofanya biashara ya dawa za kulevya. Pia kunaushahidi makini. Sasa alipotoroshwa kinyemela waliweza kufuta ushahidi wote? Kama kuna mabaki ya ushahidi wakina nani walihusishwa na biashara hiyo kwa wakati huo?
 
The truth is he was first spotted in Mombasa and reported by Majira newspaper,<br />
<br />
a prominent daily paper in Tanzania. Immediately this was denied by the police force.<br />
<br />
Four years later he was gunned down in Amsterdam or Brussels if am correct.<br />
<br />
This story was well covered in the media in the respective country as Akasha <br />
<br />
was a well known drug baron. Surprisingly, this news was either never reported<br />
<br />
or didnt get sufficient coverage in the local media in Tanzania.
<br />
<br />
Thanks mkuu, perhaps through JF we provide another coverage on the story about Akasha. Share with us the simple truth you know or have heard about him. We don't know perhaps behind the screen editors were warned not to publish anything about Akasha; to be bribed can be another truth.

How had he ascaped from Dar, was it by car or plane?
 
Nilhpata sikia kuwa huyo askari wa kike alitiwa kashikashi sana baadaye alijiua. Je! Hilo ni kweli?
 
Aliyekuwa gunned down in Netherlands alikuwa anaitwa Ibrahim Akasha sasa sijui kama ni mtu mmoja alibadilisha jina au ni ndugu.
 
Niliyaona yale magari yake pale polisi Kilwa na polisi waliniambia kisa kushikwa ilikuwa ni kumnyima mfanyakazi wake pesa zake za likizo naye akawatonya polisi.

Polisi waliyashika magari yake na ugumu ulikuwa ni kujua madawa yalikuwa yanabebwaje. Yale magari yalikuwa na trailer na number za nchi mbili lakini nimesahau. Trip zilikuwa ni kutoka mombsa mpaka south afrika kupitia Tanzania.

Ajabu zilikuwa zikisafiri bila mzigo wowote. Mbinu waliyokuwa wanafanya ni kuweka matank mengi ya mafuta kumbe yale matank walikuwa wanajaza madawa. Polisi baada ya kutafuta kila mahali ndio wakasahangaa mbona kuna sehemu nying zimechomelewa.

Kumbe wakifika South wanayakata na kurudi Kenya kuchomelea mengine wakati yale yakipakuliwa. Hilo ndilo lilifanya wakapata hayo madawa lakini haikuwa rahisi kwa sababu huyo mfanyakazi hakutoa habari kamilifu kwa polisi.
 
Nurdin Akasha na ndugu zake wawili waliuawa kinyama downtown Amsterdam baada ya kuwadhulumu walebanese mzigo wao huko mombasa basi wao wakafikiri yameisha wakaamua kuhamia kimaisha Holland na kununua majumba ya kifahari kumbe walebanese hawajasahau ndipo walipokuja uliwa wote hotelini amsterdam wakiwa wanapata dinner....

Papa Msoffe asifikiri wale wayahudi wamesahau alivyowadhulumu wanamlia timing tuu...ndo wenzetu weupe walivyo hata ipite 15 years kama ulikula chao kuna siku revenge lazima ishuke...

RIP-Akasha..
 
Back
Top Bottom