Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 339
- 457
Wadau habari za majukumu
Napenda nianze kwa kumpongeza Rais wetu Samia kwa kuona changamoto ya upungufu wa madarasa nchini
Na ndiyo maana alipo pata pesa za IMF Kupambana na COVID-19 akazipeleka mashuleni kila wilaya kujenga madarasa mapya sasa maagizo ndo tatizo.
Madarasa hayo yameamuriwa kujengwa ndani ya mwezi mmoja yawe yameisha je! Wamezingatia ubora au yapo kisiasa ili baada ya miaka mitano yawe yamechakaa ? Kwanini wasingetoa muda mzuri walau miezi sita ili yawe imara?
Kwa sasa sehemu nyingi walimu hawafundishi wapo bize na mradi huku viongozi wa kisiasa na wataalamu wakitoa maagizo yanayokinzana .
Huyu nunua Batu gauge 28 huyu akija nunua msauzzi, huyu wekeni marumaru huyu weka sakafu ya cement, huyu vile huyu hivi
Wadau nini kifanyike ili miradi iwe madhubuti?
Napenda nianze kwa kumpongeza Rais wetu Samia kwa kuona changamoto ya upungufu wa madarasa nchini
Na ndiyo maana alipo pata pesa za IMF Kupambana na COVID-19 akazipeleka mashuleni kila wilaya kujenga madarasa mapya sasa maagizo ndo tatizo.
Madarasa hayo yameamuriwa kujengwa ndani ya mwezi mmoja yawe yameisha je! Wamezingatia ubora au yapo kisiasa ili baada ya miaka mitano yawe yamechakaa ? Kwanini wasingetoa muda mzuri walau miezi sita ili yawe imara?
Kwa sasa sehemu nyingi walimu hawafundishi wapo bize na mradi huku viongozi wa kisiasa na wataalamu wakitoa maagizo yanayokinzana .
Huyu nunua Batu gauge 28 huyu akija nunua msauzzi, huyu wekeni marumaru huyu weka sakafu ya cement, huyu vile huyu hivi
Wadau nini kifanyike ili miradi iwe madhubuti?