Mihimili mitatu ya dola inaingiliana katika rasimu ya katiba mpya.mfano Rais kuondolewa uwezo wa kufanya uteuzi wa watu anaoona wanafaa na badala yake yeye kupokea mapendekezo ni kumnyang'anya mamlaka yake.watu anaowateua kuthibitishwa na muhimili mwingine wa dola -Bunge ni kuvuruga dhana ya separation of power.Rais amewekwa na watanzania kwa niaba yao hivyo hatuna budi kumwamini kwa kile anahotenda kwa niaba ya ananchi