Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Hakika Viongozi wetu Madaraka mliyonayo ni kama Kileo mnapozidisha lazima milele hebu yatumieni kwa kiasi.Mlio wengi Mmeapa kwa kutumia VITABU VITAKATIFU na Kumtaja MUNGU kuwa AWASAIDIE inakuwaje Mnatesa Watu?
Mnaua, Mnapora mali na Wake au Waume Zao? Mnawaonea, Kuwabambikizia Kesi na Kuwafunga bila hatia? Mnavunja Katiba kwa Makusudi kwa Majivuno ya Madaraka? Angalia Mfano wa Kileo cha Madaraka Kilipomfikisha Aliyekuwa DC wa Hai SABAYA. Hakika Ukikiuka KIAPO ulichoapa kwa Kumtaja MUNGU lazima MUNGU atakuadhibu.
Mnaua, Mnapora mali na Wake au Waume Zao? Mnawaonea, Kuwabambikizia Kesi na Kuwafunga bila hatia? Mnavunja Katiba kwa Makusudi kwa Majivuno ya Madaraka? Angalia Mfano wa Kileo cha Madaraka Kilipomfikisha Aliyekuwa DC wa Hai SABAYA. Hakika Ukikiuka KIAPO ulichoapa kwa Kumtaja MUNGU lazima MUNGU atakuadhibu.