Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,796
Yote hiyo kwa kuwa na sisi tunapinga kila kitu, watabadilika tuu kama na sisi tunaweza kuona kuna kizuri wanakifanya.
Chuki huzaa chuki, wema huzaa wema. Ukiniona mimi ni mjinga na kweli ni mjinga ukiniambia na ukasisitiza mimi ni mjina , haitotokea nikapata nafasi ya kutafakari werevu wako. Nitakachoangalia ni dharau ulionayo kuhusu mimi.
CCM hawahitaji kura zetu bali sisi tunahitaji kura zao.
Hakuna kitu CCM itajifundisha kutoka kwetu ila sisi tuna mengi ya kujifundisha kutoka kwao.
Baada ya matokeo ya Uchaguzi mkuu huu, Chadema inatakiwa kuwa na sobriety kwa uchambuzi wa kina na marejeo karibu maeneo yote kichana , kiuongozi,mahusiana na vyama vingine ndani na nje ya nchi, kuset political goals, kuset electoral policies. Na kutengeneza strategy na ku achieve our goals hata ikiamanisha tuwe na overall changes.
Chuki huzaa chuki, wema huzaa wema. Ukiniona mimi ni mjinga na kweli ni mjinga ukiniambia na ukasisitiza mimi ni mjina , haitotokea nikapata nafasi ya kutafakari werevu wako. Nitakachoangalia ni dharau ulionayo kuhusu mimi.
CCM hawahitaji kura zetu bali sisi tunahitaji kura zao.
Hakuna kitu CCM itajifundisha kutoka kwetu ila sisi tuna mengi ya kujifundisha kutoka kwao.
Baada ya matokeo ya Uchaguzi mkuu huu, Chadema inatakiwa kuwa na sobriety kwa uchambuzi wa kina na marejeo karibu maeneo yote kichana , kiuongozi,mahusiana na vyama vingine ndani na nje ya nchi, kuset political goals, kuset electoral policies. Na kutengeneza strategy na ku achieve our goals hata ikiamanisha tuwe na overall changes.