Madanguro ya makahaba Mwananyamala mpaka lini?

Malipo yao yakoje , naelekea Tandika kwa Wahaya. Wanatusaidia Sana hawana usumbufu hao.Kazi iendelee
 
Hii ajira haihitaji vyeki. Ni kiuno chako tu. Waache dada zetu wajiajiri bwana. Tanzania ya viwanda imebaki ndoto za mchana tu.

By the way wanaotakiwa kulaumiwa ni hao wateja wao.
Mkuu mteja si ndio analeta pesa analaumiwaje hapa?
 
Kwanini biashara hiyo ikome? Biashara yenye wateja itakomaje? Mie nilitegemea unaishauri serikali itoe leseni kwao ili biashara iwe halali na iboreshwe. Nchi zingine zinakusanya kodi kwa makahaba na fedha hiyo hiyo ndo hutoa misaada katika nchi masikini kama yetu. Tusiwe masikini jeuri kuto kukubaliana na hali iliyoopo. Uzinzi umeshamiri hakafu tunataka kujifanya haupo! Hapa JF post ya ufusika ndo yenye wachangiaji wengi kuliko post za maana katika jamii. Huo ufusika unafanyika kati ya nani na nani? Binadamu na ng'ombe? Au?


Siku hizi wanayaita massage au barber Centres!
ARVs
 
Mi nadhani wakitaka kukomesha biashara hii wawachukulie hatua wanaume wanaokwenda kununua ngono, kinyume cha hapo biashara haiwezi kukoma...
Mi nadhani wakitaka kukomesha biashara hii wawachukulie hatua wanaume wanaokwenda kununua ngono, kinyume cha hapo biashara haiwezi kukoma...
Hao wateja watamalizia wapi shida zao? Je hawatabaka watoto zetu,dada zetu.Waachwe kwa faida ya watoto wao.
 
Hii biashara haiwezi kukoma!! Toka enzi za yesu hata ukirudi nyuma zaidi enzi za kina Lutu. Kadri siku zinavyoenda ndo inazidi kuongezeka saivi kila miji inayokua biashara hii huikosi. Kwa hapa dar ndo usiseme, hata hivyo wanasaidia sana yaan mnamalizana baada ya hapo hamjuani tena hakuna ya vocha, chips, nywere ,kucha N.k, ukiacha hapo mwananyamala nenda buguruni tena hapo police washasema mmalizane vizuri hatutaki kesi mara sijalipwa mara ohh nimezurumiwa yaan hawapokei kesi. Nenda Riverside ule upande wa Gudar Shell utakuta wamejaa kama siafu yaan unachagua aliye kuvutia mnamalizana tena hapo hutoa ofa ya kukunyonya mb** kama unataka. Nenda temeke, tandika, sinza, N.k, tena pale tandika ukimaliza wanakufuta na tishu laini. Ni heri kupata huduma hii kuliko kubaka.
 
Biashara kongwe sana hii. Ni ngumu sana kuizuia. Na technology ya mawasiliano ilivo kubwa sasa.....inakuwa vigumu zaidi.

Nasikia kuna nchi nyingine wamerasimisha na walipa kodi tu.

Iwe rasmi tu kama massage parlour. Unaingia, unapata huduma "professionaly", unalipa unasepa zako. Naamini inaweza pia kupunguza baadhi ya wanaume kuvamia mpaka vitoto vidogo vya kike na mimba za utotoni.
 
WAHAYA, WANGONI, WANYAKYUSA WA KYELA, WAMBULU, WARANGI NA WANYATURU WAPI WANAOONGOZA KWA UMALAYA?
 
Ni kweli na mimi ni mkazi wa hapo.

Kihistoria hao wahaya ambao wapo hapo wapo toka 80s huko,ni wazamani sana kwenye hiyo biashara na watu wengi sana washapona hapo.

Alafu wale wanakaa katika vyumba vyao,kwao sasa utawezaje kumkamata mtu kwake?

Mi naona kama serikali imewaruhusu kiana wale watu maaana sijawahi kuskia anakamatwa mtu pale.
Watu washapona au washapata maradhi?
 
WAHAYA, WANGONI, WANYAKYUSA WA KYELA, WAMBULU, WARANGI NA WANYATURU WAPI WANAOONGOZA KWA UMALAYA?
Siku za hivi karibuni nimegundua wanyaturu kwa biashara hii hawana mpinzani,heshima kwenu mademu wa kinyaturu,
Hawa watu hawana vicmi lakini ukiwachukua show zao za kibabe,halafu wako free hawana mipaka
 
Siku za hivi karibuni nimegundua wanyaturu kwa biashara hii hawana mpinzani,heshima kwenu mademu wa kinyaturu,
Hawa watu hawana vicmi lakini ukiwachukua show zao za kibabe,halafu wako free hawana mipaka
Ha ha ha
 
Back
Top Bottom