beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
Wapendwa wangu! Ruhazwe & Madame B, vipi tena?
Hebu taratibuni basi, hakuna kisichozungumzika hapa chini ya jua!
Nini kimewakwaza? Watu wazima tupo hapa incase mediation required tupeni go ahead tuwawekee mambo sawa.
Wasuluhisha kwa mwenzio wakat kwako kwaukua moto waaapi na sahz wataka niwe mtu wamipasho sasa subiri nakuambia wewe apo unatoa macho hapa unadhan madame b hajisomi hakuna sa ngoja tuu wajua ulichofanya