Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
- Thread starter
- #21
serikali inawatoa watu ambao wamevamia ardhi ya watu tu na c vinginevyo na hao wavamizi wameanzisha vurugu kupigana na askari kwa kutumia mapanga na mikuki
sema mafisadi wamepindisha sheria ili wajimilikishe ardhi baana ya kusikia kuwa lami na mradi wa maji unakuja na huku hakutakalika: