Madalali wa nyumba za Jiji wamhonga mamilion RC wa Arusha

Naima Ernest

Member
Apr 5, 2013
41
22
Ndugu Mwekezaji....unaombwa kufika duka namba 302 na Tshs 250,000/=muone ndugu Moiz(Muhindi)huu ni mchango wa sherehe pamoja na bahasha kwa ajili ya Mkuu wetu wa mkoa maana kazi aliyotufanyia ni kubwa,ya kuturejeshea maduka yetu,Pesa hiyo inatyakiwa kabla ya tarehe 8 Februari.Pia usisahau nakala 2 za mikataba
Moris Makoi
Katibu wa wawekezaji Jiji la Arusha

Hii ni sms ambayo ndugu yangu ametumiwa na namba ya simu ya mkononi ya Ndugu Moris Makoi ambaye ni diwani wa Moshi vijijini.
Najiuliza kwa nini hawa madalali/wawekezaji wanatoa HONGO/Takrima kwa Mkuu wa Mkoa?ifahamike tu kuwa RC wa Arusha ni the most corrupt RC of all the times.......
TAKUKURU ingieni kazini
 
Siku hizi hata ukitoa tuhuma za rushwa kwa wateule ni sawa na kazi bure, nashauri wenue ushahidi wa tuhuma za rushwa kwa wateule wa raisi na wabunge wa ccm autunze mpaka upepo huu wa upofu wa wananchi juu ya utendaji wa serilali upite
 
Ndugu Mwekezaji....unaombwa kufika duka namba 302 na Tshs 250,000/=muone ndugu Moiz(Muhindi)huu ni mchango wa sherehe pamoja na bahasha kwa ajili ya Mkuu wetu wa mkoa maana kazi aliyotufanyia ni kubwa,ya kuturejeshea maduka yetu,Pesa hiyo inatyakiwa kabla ya tarehe 8 Februari.Pia usisahau nakala 2 za mikataba
Moris Makoi
Katibu wa wawekezaji Jiji la Arusha

Hii ni sms ambayo ndugu yangu ametumiwa na namba ya simu ya mkononi ya Ndugu Moris Makoi ambaye ni diwani wa Moshi vijijini.
Najiuliza kwa nini hawa madalali/wawekezaji wanatoa HONGO/Takrima kwa Mkuu wa Mkoa?ifahamike tu kuwa RC wa Arusha ni the most corrupt RC of all the times.......
TAKUKURU ingieni kazini

mkidakwa kuwa mnaeneza vitu vya uzushi na kubanwa makalio mnaanza kupiga kelele kuwa mnaonewa!! Uzushi kama huu hivi ukidakwa ukaswekwa kisongo utalalamika kuwa umenyimwa dhamana ?
 
mkidakwa kuwa mnaeneza vitu vya uzushi na kubanwa makalio mnaanza kupiga kelele kuwa mnaonewa!! Uzushi kama huu hivi ukidakwa ukaswekwa kisongo utalalamika kuwa umenyimwa dhamana ?

Wenzako wamenyimwa dhamana wako central nenda kawatoe.Chama cha Magaidi wa Madawa ya kulevya
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndugu Mwekezaji....unaombwa kufika duka namba 302 na Tshs 250,000/=muone ndugu Moiz(Muhindi)huu ni mchango wa sherehe pamoja na bahasha kwa ajili ya Mkuu wetu wa mkoa maana kazi aliyotufanyia ni kubwa,ya kuturejeshea maduka yetu,Pesa hiyo inatyakiwa kabla ya tarehe 8 Februari.Pia usisahau nakala 2 za mikataba
Moris Makoi
Katibu wa wawekezaji Jiji la Arusha

Hii ni sms ambayo ndugu yangu ametumiwa na namba ya simu ya mkononi ya Ndugu Moris Makoi ambaye ni diwani wa Moshi vijijini.
Najiuliza kwa nini hawa madalali/wawekezaji wanatoa HONGO/Takrima kwa Mkuu wa Mkoa?ifahamike tu kuwa RC wa Arusha ni the most corrupt RC of all the times.......
TAKUKURU ingieni kazini
Ila si jambazi kama Godbless alie karibu na Airport Arusha.
 
Hata haijakaa kituhuma kwa RC yaani watu wamekaa wenyewe wanajadiliana and then use me Gambo kahongwa wtf nilidhani Mkuu ndie kaombwa khah kuna kuchafua watu lakini si kihivi.. Mleta uzi ni mpumbavu anatakiwa akamatwe atoe ushaidi siku nyingine asiwe mchochezi... Sijaona mantiki ya huu uzi
 
wewe ndo Gambo nini?.ukweli mara nying unauma.
Ya kwamba mambo yenu hayawezi kwenda Lema akiwa huru?.
ahahahahahaaaaa,pesa ni tamu.

Na bado wasije wakaingia kwenye 18 za JPM maana anavita na wala NGADA
 
Back
Top Bottom