Madalali wa Korosho zetu, Indo Power waanza kusaka soko kupitia Alibaba!

Mtazamo wangu.
Serikali imeuza korosho tani 100,000, kuna tatizo gani kwa mmunuzi kuuza kwa namna anayoona inamfaa? au tulitaka akaile yote yeye na familia yake?

Nadhani issue kubwa ni kama kampuni haijalipa fedha kwa hizo tani 100,000 ambazo wamedai kununua.
Facts mkuu.

Labda ingekuwa kampuni imebeba korosho na awakutoa pesa naona hapo ndio ungekuwa mjadala.

Na kingine mjadala wako ungejikita kuwa hiyo kampuni kama walinunua je walilipa kwa hundi au letter of credit au walitumia means of payments ipi na walililpia bank ipi na information mbalimbali kujua kama kampuni ni genuine au briefcase lakini ukisema kampuni inauza korosho Alibaba nahisi unahitaji kupata darasa kuhusu masoko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara mnasema kampuni hewa mara inajitangaza Alibaba, kweli kampuni fake inajitangazaje Alibaba?

Na ukiangalia kwenye hizo pics ulizoweka kuna sehemu wameweka main products na zipo zaidi ya moja wanazouza such as cashewnut,groundout etc.

Je nikuulize iyo akaunti iliyopo Alibaba imefunguliwa baada ya kununua korosho zetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Double standard hizi, kama nguruwe ni haramu manake ni aijalishi kama kachinja shekh juma au mkubwa joni.

Kwa profile hiyo inatofauti gani na vetting iliyomuibua Bashite kuwa kaimu wa ofisi kuu. Warudisheni kazini acacia basi.

Mmekataa kangomba kutoka Tandaimba ili msiuze korosho ghafi vipi tena mnaleta kangomba kwa ndege???
Kama wameingia mkataba wakanunua kwetu huku sisi kinatuhusu nini wapi wao wanaenda kuuza? Isipokuwa kama wamenunua kwa kutukopa wakiahidi kutulipa "wakishauza"; hapo kutakuwa na tatizo. Lakini wakilipa kwetu na wakabeba sheneza zao hilo lwao wapo wataenda kuuza au kula..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndiyo unafeli korosho zimeshauzwa sasa kama wanatafuta soko kwenye mtandao wa alibaba sisi inatuhusu nini? Hivi vichwa nyenu vina ubongo au??
Acha kutulisha matango pori , mlituambia mnabangua wenyewe , na kuna mtu kanyanganywa kiwanda kikowapi, kumbe na nyie kangomba tuu, mnawaonea wengine kwa sababu ya nguvu za dola, bei mmewapunja, na sasa mnapunja nchi mapato, toka huko
 
Acha kutulisha matango pori , mlituambia mnabangua wenyewe , na kuna mtu kanyanganywa kiwanda kikowapi, kumbe na nyie kangomba tuu, mnawaonea wengine kwa sababu ya nguvu za dola, bei mmewapunja, na sasa mnapunja nchi mapato, toka huko
Pole Kangomba. Tulia sindano ikuingie sawasawa ili upone ugonjwa wako!
 
Kwa ninavyoelewa hawa Jamaa tiyari wametoa Letter of Credit (LC) kwaajili ya malipo ya hizo korosho, Letter of Credit maana yake Benki inalipa deni on your behalf. Sasa kama hiyo LC haina mafundo mafundo ina maana serikali kwa asilimia kubwa sana imepata uhakika wa malipo yake, Labda itokee tu.

Ila hawa Jamaa wametisha sana kwa kuchungulia fursa, yaani wanaenda kupiga hela ya kufa mtu. Nina uhakika pamoja na kutangaza huko alibaba lazima walikua wana soko la uhakika huku alibaba wanatikisa kiberiti kuona kama wanaweza pata mkwanja mrefu zaidi
 
Hivi wale wanunuzi aliokuwa 'amepata' waziri mkuu waliishia wapi na nini kilitokea? Rais sio malaika jamani, na yeye anapiga deals za kifisadi kama kawaida tu na sio kila analosema au kuamua lina maslahi mapana kwa Jamhuri ya Muungano. Bunge dhaifu, mahakama dhaifu, wateule wake dhaifu, raia dhofuli kabisa. Sijui nani atakuja kumdhibiti huyu kiumbe?
 
Asante sana. Kazi nzuri sana umefanya. Wajibu wetu sisi wengine ni kuchukua kutokea hapa.
Na kinachoudhi na kusikitisha zaidi ni namna tulivyoaminishwa ubora na ustadi wa jeshi letu katika operation Korosho kwamba within no time ukusanyaji, ubenguaji na ulipaji wa korosho ungetimilika na kufanikiwa na kwafanikio ya kiwango cha juu!

Lah, nguvu ama zimekata au zimehamishiwa Njombe kwenye maswala yanayoweza kutatuliwa na Jeshi letu la Polisi.

Ya korosho yameishia hapo.
 
Na kinachoudhi na kusikitisha zaidi ni namna tulivyoaminishwa ubora na ustadi wa jeshi letu katika operation Korosho kwamba within no time ukusanyaji, ubenguaji na ulipaji wa korosho ungetimilika na kufanikiwa na kwafanikio ya kiwango cha juu!

Lah, nguvu ama zimekata au zimehamishiwa Njombe kwenye maswala yanayoweza kutatuliwa na Jeshi letu la Polisi.

Ya korosho yameishia hapo.

Psss!!!!
 
Arifu Ufisadi uko wapi hapo? hata kama ni madalali mi naona poa tu, napenda sana fursa
"Ufisadi" una sura nyingi mzee, sio lazima uwe umepiga kiwango kama kile cha Joka la Makengeza. Wale wanunuzi aliokuwa amepata PM ilikuaje wakapigwa chini juu kwa juu? Inasemekana walikuwa wanatoa atleast TShs. 3000 per 1kg. Hawa wametoa ngapi na wanakwenda kuzinadi korosho "zetu" kwa Shs ngapi? Jiwe aliahidi kununua zile Korosho kwa Shs ngapi?
 
'Indo who?'

“Indo who?” …was the common question on many Kenyan lips on hearing that the little-known company had pulled through a $180 million deal in Arusha.

Since then, questions have continued to be asked about the multibillion-shilling deal, especially coming at a time when Kenya is in the middle of a crusade to clean up its financial services sector that has more recently been discredited by the flow of millions of suspect funds.

Official registration documents show that Indo Power is a two-year old firm based in Thika town on the outskirts of Nairobi that was not known to have transacted any deals worth more than $10 million. Its owners are virtually unknown in Kenya’s big business community and its chief executive is better known in political deal making circles.

The EastAfrican investigations, including a search at the Registrar of Companies, found that Indo Power, which was registered in October 2016, claims to have offices in Indo House’s “Ground Floor, Room 6, Kisii Road, Thika.” Its directors, Joyce Waithira Gatoho Muigai and Alice Wanjiku Gatoho, jointly own 1,000 shares with a nominal share capital of Ksh100,000 ($1,000).
Mr Mutembei told The EastAfrican this week that the company was registered in 2008 and incorporated in 2016 and the directors are his mother and his wife.


The EastAfrican could, however, not locate Indo House in Thika.


“We attended the signing of the deal because that was part of the economic diplomacy, which the mission is obligated to support. The fact that Tanzania is a grower should interest its neighbours and, as a mission, we are happy to see a Kenyan company clinch this deal. It is in our interest to nurture relations, including trade between the two countries. However, I cannot go into the specifics of the deal. I would advise you to reach out to Brian for that,” Mr Kazungu said.


It has not been lost on keen observers that a firm that is outward looking and active in international trade has no online presence.

Official registration records also indicate that Indo Power has no bankers, no lawyers, no auditors, and no company secretary.

Mr Mutembei however reckoned that “the company has expertise in connecting Tanzania with the buyers of the produce,” a pointer to the fact that it may have merely acted as a broker.

So, who is behind it and where is the money coming from? Which banks would finance such a mega deal?
 
Hawa madalali hawajalipa hata senti moja na wamekosa wateja wa kuwauzia hizo korosho.

Hii Serikali inatia aibu sana.
 
52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom