Madalali wa Korosho zetu, Indo Power waanza kusaka soko kupitia Alibaba!

Inaelekea watu wameamua kuji-intoxicate bila sababu. Hivi hapa kuna tatizo gani korosho ya Mtwara, Tanzania ikiuzwa na kusambazwa duniani kote kupitia soko kubwa la kimtandao la Alibaba? Sasa mswahili kujua kuwa korosho kutoka nchini kwetu inauzwa na kusambazwa kupitia biashara mtandano ya Alibaba inakuwaje story au laana kwa seikali au kushindwa kwa utawala? Inaelekea kuna watu wameamua kujiweka vibaya na watasaga meno sana maana hakutakuwa na unafuu kwao hadi wabadilike kuwa positive.
Kuwa positive ni kukubali utumbo unafanywa na wajinga au kuwa positive nikufanyaje??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengine tutaonekana tuna wivu, lakini penye ukweli na usemwe: Serikali ya Magufuli hapa imeingia mkenge na imeingia kichwa kichwa.

Unaweza kuona wanavyotangaza hapa: Source raw cashew nuts Outturn 49 -52 on m.alibaba.com au Raw Cashew Nuts Outturn 49 -52 - Buy Outturn 49-52 Organic Dry Product on Alibaba.com na profile yao ipo hapa Company Overview - Indo power solutions

Angalia details hizi kwa mujibu wa Alibaba:

View attachment 1019349

Uwezo wa Kampuni - Research & Development team LESS THAN 5 people:

View attachment 1019353

Lakini, angalia production capacity yao ni ipi na SOMA wao wanasemaje kuhusu 'Cooperation Factory' yao:

View attachment 1019356

Madalali hawa, wanamtumia kijana “Nash Ngare” ambaye profile yake LinkedIn inaonekana kama hivi https://www.linkedin.com/in/nash-ngare-81870369/

Angalia kwenye details za profile yake amejiunga na kampuni lini:
View attachment 1019338
View attachment 1019337

Again, huyu naye ni kundi moja na kina Brian Mutembei; ni kijana wa Ruto

View attachment 1019369
Wewe endelea kusearch tu huko sisi tunachotaka wanunue kwa bei ya juu siyo nyinyi mliokuwa mnataka kuwapiga wananchi wakulima. Mmeula wa chuya!! Kangomba kwishney!
 
Suala hapa ni kama kampuni imeshanunua hiyo korosho toka kwa Wakulima? Kama imenunua kwani ikikosa soko itaturudishia? Kama hairudishi, ni hasara yao, sasa hizi hasira za nini ?? Hasara wapate wakenya sisi tulalamike? Mbona wenyewe akina Ruto na wakenya wenyewe hawalalamiki?

Chamsingi sisi tumeuza kwa bei nzuri, mengine hayatuhusu, ni mambo ya biashara!!!
 
The problem with you guys you think so low that you always regret. Government is a system, doesn't work like your dukawala reasoning. Smart as they are, Kenyans have seen business opportunity with marketing cashewnut through the booming Alibaba online commodity distribution chain. They are in and making money, perhaps unlike Indians cartels of regular raw cashewnuts buyers. Cynical, as always spinners are in JF sneaking!
Kwenye sakata la Richmond system ilikaa pembeni? Ukipindisha Mambo system ndo lazima ikatae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengine tutaonekana tuna wivu, lakini penye ukweli na usemwe: Serikali ya Magufuli hapa imeingia mkenge na imeingia kichwa kichwa.

Unaweza kuona wanavyotangaza hapa: Source raw cashew nuts Outturn 49 -52 on m.alibaba.com au Raw Cashew Nuts Outturn 49 -52 - Buy Outturn 49-52 Organic Dry Product on Alibaba.com na profile yao ipo hapa Company Overview - Indo power solutions

Angalia details hizi kwa mujibu wa Alibaba:

View attachment 1019349

Uwezo wa Kampuni - Research & Development team LESS THAN 5 people:

View attachment 1019353

Lakini, angalia production capacity yao ni ipi na SOMA wao wanasemaje kuhusu 'Cooperation Factory' yao:

View attachment 1019356

Madalali hawa, wanamtumia kijana “Nash Ngare” ambaye profile yake LinkedIn inaonekana kama hivi https://www.linkedin.com/in/nash-ngare-81870369/

Angalia kwenye details za profile yake amejiunga na kampuni lini:
View attachment 1019338
View attachment 1019337

Again, huyu naye ni kundi moja na kina Brian Mutembei; ni kijana wa Ruto

View attachment 1019369
Kwani shida ni nini? C wametulipa money yetu?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kama wamenunua na pesa wanalipa, nyie mlitaka kununua muikalishe majumbani mwenu au?

Hayo yao yanawahusu nini? Mlitaka wanunue wakale wao na ndugu zao au?

Kuna mengine ya kulalama kama mngeandika hawalipi ni matapeli.. nchi imepigwa pesa hatujapata.

Ila mie sioni la ajabu hata kama wangeamua wenda kuuzia juu ya mawingu.

Muhimu pesa imenunuliwa.kwa bei aliyotaka Rais wetu na hongera kwake.. kwa wale wenye korosho za kiwango cha chini wajiongeze kwenye ukulima ili wapate pesa zaidi.

Korosho inatokea Mtwara port.. na wameshinda hao.

Watanzania mjiongeze kuliko kulalamika.. ikija kesho tena mtakuwa bado mnalalamika kwa kushindwa na wengine.

Kama mlitaka serikali iuze mtandaoni na watendaji hawajui hayo si mungewashauri..

Serikali itoe cha mtandaoni kivyovyote watu tuwashauri kukiwa na hili au lile.. kuna kujifunza hakuna ajuaye yote

Muhimu wakulima wanapata pesa zao.. na hao hawakununua ili wasipate faida.
 
52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom