Madalali wa Korosho zetu, Indo Power waanza kusaka soko kupitia Alibaba!

Halafu baada ya hapo kampuni hiyo kimyakimya tunaipa udalali wa Koroshow zetu, ikishapata mteja na kuziuza itaturudishia pesa zetu na yenyewe itakula Commision yake.
The problem with you guys you think so low that you always regret. Government is a system, doesn't work like your dukawala reasoning. Smart as they are, Kenyans have seen business opportunity with marketing cashewnut through the booming Alibaba online commodity distribution chain. They are in and making money, perhaps unlike Indians cartels of regular raw cashewnuts buyers. Cynical, as always spinners are in JF sneaking!
 
Akihutubia kwao wakati huo akiwa waziri wa njia aliwaambia hivi wakati akijibu malalamiko ya njia kukosa lami , " Wakusanye kinyesi chao chote wasilibie bara bara ili iwe mbadala wa lami " Mtu kama huyu atatoa wapi baraka ?

Ngumu kumeza...leta ushahidi wa clip au gazeti au chochote kile ili tuamini unachosema au tupe tarehe alizosema hivyo ili tutafute watu wa Chato watupe rejea
 
Ngumu kumeza...leta ushahidi wa clip au gazeti au chochote kile ili tuamini unachosema au tupe tarehe alizosema hivyo ili tutafute watu wa Chato watupe rejea
Then akileta nini kitabadilika zaidi ya kutoamini kama usivyoamini sasa! Labda tumwambie mhusika arudie kutamka hata hivyo utaishia kupiga makofi kama utakuwepo kwenye tukio
 
nikikumbuka namna serikali zilizopita zinanyosemwa ovyo na hili lililofanyika kwenye koroshow naona pengine tuliko toka tunaufadhali zaidi maana kwa dunia ya leo na tanzania ya leo iliyojaa internet kila mahala huwezi tegemea serikali yetu iingie mkataba na kampuni yenye mashaka kama hii.Vipi kesho tukijakuambiwa ilikuwa inapata pesa toka kwenye makaundi yasiyofaa au imetakatisha fedha je nchi haitaingia kwenye kashifa.Sitaki kuuingia kwenye mtego wa kusema hawawezi lipa wanaweza kulipa lakini je pesa ya ni halali au ni yale yale na baade tunaanza kulia lia kama tunavyolia na tanzanite mara nchi jirani ndiyo inauza sana tanzanite kuliko nchi yetu,tunaharibu brand nzuri kwa uroho na uchu wa madaraka tu.NAWAZA TU KWA SAUTI sijui tumerogwa na nani sisi
 
Kikubwa ni kuleta ushahidi kamili wa icho unachodai sio kuja na habari za kufikirika, kuhusu kutumia Ali baba ilo ni jambo la kawaida kwa wenzetu tena ni njia ya kutanua masoko na kujitangaza pia kwa biashara inayoendelea so sioni logic ya kusema eti ni madalali wakati sisi tumeshauza

Kweli nimeamni wakisamvu wakisamvu tu akibadilisha mboga mapupu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu Zangu Ninyi Mniite Majina Yote Lakini Tanzania Iende Mbele Siyo Kurudi Nyuma
 
I LOOOOVE INTERNET haki kweli!

Karibu anafika kwenye ule UKUTA mreeeefu hakuna pa kutokea
Ukurupukaji wa mtu mmoja unaliingizia Taifa hasara kiasi hiki!??
 
Mzee,

Naona hauko informed. Siwezi kukulaumu.

Mpaka unaona tunapiga kelele juu ya hili ujue kuna tatizo kubwa sehemu.
Mkuu tafadhali sana naomba mm na wengne wenye uhaba wa maarifa kuhusu hili suala utujuze. Tatzo liko sehemu gani ? Kwa nn watu wanapiga kelele? Mwenye taarifa plz
 
52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom