Madalali wa Korosho zetu, Indo Power waanza kusaka soko kupitia Alibaba!

Ex Spy

JF-Expert Member
Jan 15, 2007
213
1,725
Pengine tutaonekana tuna wivu, lakini penye ukweli na usemwe: Serikali ya Magufuli hapa imeingia mkenge na imeingia kichwa kichwa.

Unaweza kuona wanavyotangaza hapa: Source raw cashew nuts Outturn 49 -52 on m.alibaba.com au Raw Cashew Nuts Outturn 49 -52 - Buy Outturn 49-52 Organic Dry Product on Alibaba.com na profile yao ipo hapa Company Overview - Indo power solutions

Angalia details hizi kwa mujibu wa Alibaba:

Screenshot 2019-02-10 at 22.26.07.png


Uwezo wa Kampuni - Research & Development team LESS THAN 5 people:

Screenshot 2019-02-10 at 22.28.23.png


Lakini, angalia production capacity yao ni ipi na SOMA wao wanasemaje kuhusu 'Cooperation Factory' yao:

Screenshot 2019-02-10 at 22.27.57.png


Madalali hawa, wanamtumia kijana “Nash Ngare” ambaye profile yake LinkedIn inaonekana kama hivi https://www.linkedin.com/in/nash-ngare-81870369/

Angalia kwenye details za profile yake amejiunga na kampuni lini:
Screenshot 2019-02-10 at 22.19.29.png

Screenshot 2019-02-10 at 22.19.39.png


Again, huyu naye ni kundi moja na kina Brian Mutembei; ni kijana wa Ruto

Screenshot 2019-02-10 at 22.38.27.png
 
Aisee huyu mtu mbona yupo hivi kila alifanyalo linakwama itakua ana aina fulani ya laana alishawahi fanya jambo lililokinyume na maadili na dini sio bure kwa kweli haiwezekani iwe hivi
Akihutubia kwao wakati huo akiwa waziri wa njia aliwaambia hivi wakati akijibu malalamiko ya njia kukosa lami , " Wakusanye kinyesi chao chote wasilibie bara bara ili iwe mbadala wa lami " Mtu kama huyu atatoa wapi baraka ?
 
What is the problem?
Oh,

The main bad is that populism is a monist and moralist ideology, which denies the existence of divisions of interests and opinions within “the people” and rejects the legitimacy of political opponents.

As the populists are the “vox populi”, ie the voice of all the people, anyone with a different view speaks for “special interests” a.k.a mabeberu!

Populism tends to get ugly when it gets into power!
 
52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom