ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Jamani, jana nilisikiliza TUAMBIE TBC, alikuwepo KASESERA na MZINDAKAYA. Hoja zao waote walisisitiza madakatari wawe na HURUMA kwa watanzania, warudi kwenye round table discussion. Kuna mchangiaji mmoja alihoji kuna hasara gani iwapo madaktari wataendelea na mgomo iwapo mawaziri hawatajiuzulu na kuna hasara gani iwapo mawaziri watajiuzulu na kurudi kazini. Swali hili halikujibiwa, waliendelea kusisitiza madaktari wawe na huruma na watanzania, warudi kuzungumza na serikali.
Wengine walisema, madaktari hawana huruma. wengine walisema mawaziri hawana huruma.
watendaji wako wameonesha hawana imaniu na wewe, na wamegoma kuingia kazini mpaka uondoke, unang'ania uwaziri umezaliwa nao? wewe waziri na madaktari walio chini yako tena hawakuamini, nani hana huruma?
HAMKUZALIWA NA UWAZIRI, HIVYO NI BORA MUACHIE NGAZI ILI KUEPUSAHA MAAFA YASIYO YA LAZIMA, UBUNGE WENU UNATOSHA. WATANZANIA WAELEWA, WANAJUA NINYI NDO VIKWAZO, LAKINI WATANZANIA WASIOELEWA WATADHANI MADAKTARI NDIO KIKWAKO. TUKIJA KWENYE UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA, KILA MWELEWA ANAJUA NANI KIKWAZO
Wengine walisema, madaktari hawana huruma. wengine walisema mawaziri hawana huruma.
watendaji wako wameonesha hawana imaniu na wewe, na wamegoma kuingia kazini mpaka uondoke, unang'ania uwaziri umezaliwa nao? wewe waziri na madaktari walio chini yako tena hawakuamini, nani hana huruma?
HAMKUZALIWA NA UWAZIRI, HIVYO NI BORA MUACHIE NGAZI ILI KUEPUSAHA MAAFA YASIYO YA LAZIMA, UBUNGE WENU UNATOSHA. WATANZANIA WAELEWA, WANAJUA NINYI NDO VIKWAZO, LAKINI WATANZANIA WASIOELEWA WATADHANI MADAKTARI NDIO KIKWAKO. TUKIJA KWENYE UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA, KILA MWELEWA ANAJUA NANI KIKWAZO