hii hali ni kama inakomaa,mgonjwa kafariki daktari anampiga picha,itafika siku watatupiga picha tukiwa uchi na tuko nusu kaputi,sheria itungwe haraka
nikweli huu upuuzi usipo zibitiwa utaleta balaa baadaye
hii hali ni kama inakomaa,mgonjwa kafariki daktari anampiga picha,itafika siku watatupiga picha tukiwa uchi na tuko nusu kaputi,sheria itungwe haraka
hii hali ni kama inakomaa,mgonjwa kafariki daktari anampiga picha,itafika siku watatupiga picha tukiwa uchi na tuko nusu kaputi,sheria itungwe haraka
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sanaTutazuia picha kwa viongozi wa CCM lkn hawa wa UKAWA wataonyeshwa.
Tutapitisha hiyo sheria bungeni
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana
Hii hali ni kama inakomaa,mgonjwa kafariki daktari anampiga picha na kuzisambaza kwa watu.
Itafika siku watatupiga picha tukiwa uchi na tuko nusu kaputi.
Sheria itungwe haraka kudhibiti tabia hii.
Hebu weka ushahidi wa jina la daktari aliyepiga maiti picha na kusambaza...
La utakuwa unaudanganya umma kama huna ushahidi...
Hii hali ni kama inakomaa,mgonjwa kafariki daktari anampiga picha na kuzisambaza kwa watu.
Itafika siku watatupiga picha tukiwa uchi na tuko nusu kaputi.
Sheria itungwe haraka kudhibiti tabia hii.