Joop
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 334
- 649
Walimu kila siku wanatembea na vianafunzi..
Lectures wanawakula wanachuo kibabe... tena kwa kuwatishia kuwashika.
Mabosi wanawala wafanyakazi wao...
Mapadre kwa masista nadhani ni propaganda tu...
Sitaki kuhalalisha kinachosemwa... ila pia sikubaliani nacho 100%
Daktari akiwa kwenye procedure anakuwa na msaidizi wa kike (nurse) hivyo hakuna room ya daktari kufanya ufuska huo
Pia madaktari wanashobokewa mnooo na wanawake kiasi kwamba ana uhakika wa mbususu mpya kila siku
Sasa kusema abake mgonjwa wakati wa procedure inaleta ukakasi sana
Lectures wanawakula wanachuo kibabe... tena kwa kuwatishia kuwashika.
Mabosi wanawala wafanyakazi wao...
Mapadre kwa masista nadhani ni propaganda tu...
Sitaki kuhalalisha kinachosemwa... ila pia sikubaliani nacho 100%
Daktari akiwa kwenye procedure anakuwa na msaidizi wa kike (nurse) hivyo hakuna room ya daktari kufanya ufuska huo
Pia madaktari wanashobokewa mnooo na wanawake kiasi kwamba ana uhakika wa mbususu mpya kila siku
Sasa kusema abake mgonjwa wakati wa procedure inaleta ukakasi sana