Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Walimu kila siku wanatembea na vianafunzi..

Lectures wanawakula wanachuo kibabe... tena kwa kuwatishia kuwashika.

Mabosi wanawala wafanyakazi wao...

Mapadre kwa masista nadhani ni propaganda tu...

Sitaki kuhalalisha kinachosemwa... ila pia sikubaliani nacho 100%

Daktari akiwa kwenye procedure anakuwa na msaidizi wa kike (nurse) hivyo hakuna room ya daktari kufanya ufuska huo

Pia madaktari wanashobokewa mnooo na wanawake kiasi kwamba ana uhakika wa mbususu mpya kila siku

Sasa kusema abake mgonjwa wakati wa procedure inaleta ukakasi sana
 
Habari ndugu zangu udaktari ni kazi ngumu sana na inahitaji moyo kuifanya ninawapongeza waliofanikisha na wanaofanya mpaka sasa maana kuna muda inatia stress sana hivyo huwa nao kuna muda huchoka. Licha ya hayo katika madaktari kuna ambao wana jiheshimu na wanao yapeleka mambo wajuavyo bila heshima na kufuata ethics za udaktari.

Kuna matukio mengi sana ya madaktari kutembea na wake za watu ( hapa naongelea madaktari wa kiume na hasa upande wa uzazi) bila mume kujua na kuelewa kwa kweli ukiachana na swala la wadada kujipendekeza wao wenyewe ila hata hawa watu hutumia nafasi zao kuwarubuni.

Mfano kuna mmoja ya binti jirani yangu aliwahi patwa na tatizo la uzazi hivyo alilazimika kwenda kusafishwa kizazi baada ya maelezo mafupi kuhusu hali yake kilichotokea ni kwamba daktari alimwambia kaa kitandani kama ilivyotaratibu kilichofuata akaambiwa toa nguo akatoa zilizo sehemu ya siri akafanya hatua za mwanzo "akamwongopea yule dada kwamba haiwezikani kusafisha njia mpaka kulainishwe basi dada akakubali basi wakati anasubili mara bwana mkubwa anataka kuweka rungu dada akastuka akakataa " kwa kweli hii habari imenisikitisha sana.

Pili kuna wake za watu wanawekewa vikwazo mpaka waweze kushiriki tendo na wataalamu wetu licha ya hilo kuna wale wakipewa huduma kwa sababu wamewachungulia basi madaktari hutumia nafasi hizo kuwatafuta na kuwatafuna.

Lengo langu je kwa nini? Madktari wakike hawafanyi hizi kazi kwa kulinda heshima na kuepuka unyanyasaji wa kisaikolojia kwa mwanamke ? Hata kama ni wachache lakini kwa nini kusiwe na jitihada ili kupunguza hili janga.

Je, haya mambo yapo kwa kiasi gani? Kama unajua sema kidogo juu ya hili na sisi kama jamii hili swala ni sawa?

Je, kuna kuna sheria za kulinda haki ya mgonjwa kati ya daktari (haswa wakiume kwa wakike na kivipi wakati wanakua wawili tu), (daktari wa kike kwa wakiume tusemezane pia kama ipo) ikiwa imebainika kuna unyanyasaji?

Malalamiko yako mengi nimetoa mifano kidogo ili kuelewesha wapi nalenga ila hapa nataka tujadili kwa upana hili swala hivyo nakarbisha mawazo yenu kwa uliyosikia na kushuhudia ili kuona namna ya kulikabili hili tatizo.

Mungu awalinde madaktari wawe na moyo mwema wa kujituma bila tamaa bila kwenda nje ya kanuni zao.

Amina.
Acha wivu, na wewe kasomee udaktari
 
Habari ndugu zangu udaktari ni kazi ngumu sana na inahitaji moyo kuifanya ninawapongeza waliofanikisha na wanaofanya mpaka sasa maana kuna muda inatia stress sana hivyo huwa nao kuna muda huchoka. Licha ya hayo katika madaktari kuna ambao wana jiheshimu na wanao yapeleka mambo wajuavyo bila heshima na kufuata ethics za udaktari.

Kuna matukio mengi sana ya madaktari kutembea na wake za watu ( hapa naongelea madaktari wa kiume na hasa upande wa uzazi) bila mume kujua na kuelewa kwa kweli ukiachana na swala la wadada kujipendekeza wao wenyewe ila hata hawa watu hutumia nafasi zao kuwarubuni.

Mfano kuna mmoja ya binti jirani yangu aliwahi patwa na tatizo la uzazi hivyo alilazimika kwenda kusafishwa kizazi baada ya maelezo mafupi kuhusu hali yake kilichotokea ni kwamba daktari alimwambia kaa kitandani kama ilivyotaratibu kilichofuata akaambiwa toa nguo akatoa zilizo sehemu ya siri akafanya hatua za mwanzo "akamwongopea yule dada kwamba haiwezikani kusafisha njia mpaka kulainishwe basi dada akakubali basi wakati anasubili mara bwana mkubwa anataka kuweka rungu dada akastuka akakataa " kwa kweli hii habari imenisikitisha sana.

Pili kuna wake za watu wanawekewa vikwazo mpaka waweze kushiriki tendo na wataalamu wetu licha ya hilo kuna wale wakipewa huduma kwa sababu wamewachungulia basi madaktari hutumia nafasi hizo kuwatafuta na kuwatafuna.

Lengo langu je kwa nini? Madktari wakike hawafanyi hizi kazi kwa kulinda heshima na kuepuka unyanyasaji wa kisaikolojia kwa mwanamke ? Hata kama ni wachache lakini kwa nini kusiwe na jitihada ili kupunguza hili janga.

Je, haya mambo yapo kwa kiasi gani? Kama unajua sema kidogo juu ya hili na sisi kama jamii hili swala ni sawa?

Je, kuna kuna sheria za kulinda haki ya mgonjwa kati ya daktari (haswa wakiume kwa wakike na kivipi wakati wanakua wawili tu), (daktari wa kike kwa wakiume tusemezane pia kama ipo) ikiwa imebainika kuna unyanyasaji?

Malalamiko yako mengi nimetoa mifano kidogo ili kuelewesha wapi nalenga ila hapa nataka tujadili kwa upana hili swala hivyo nakarbisha mawazo yenu kwa uliyosikia na kushuhudia ili kuona namna ya kulikabili hili tatizo.

Mungu awalinde madaktari wawe na moyo mwema wa kujituma bila tamaa bila kwenda nje ya kanuni zao.

Amina.
What difference does it make if ur wife gets fucked by ur neighbour or ur boss or brother or by the doctor treating her?
It's just the same thing,let's not make a mountain out of hill,it's the same fucking dick,
 
Tatizo la ajira na mfumo mbaya sana wa Elimu vimesababisha nchi nyingi za kuwa na watu wasiofaa kwenye nafasi walizonazo katika jamii. Kuanzia viongozi wa siasa , madaktari,walilimu, maaskari, wahasibu, wachungaji,mashakhe n.k.
Kitendo cha Serikali kuongeza mishahara ya madaktari na kuahindwa kuweka Mfumo wa kuwapata madaktari wenye wito halisi badala ya madakatari wanaokimbilia maslahi,sifa baada ya kukosa ajira zinazoendana na wito wao kumeifanya tasnia ya udaktari na manesi kuvamiwa na genge la wahalifu wa kibinadamu kama yalivyo maeneo mengine. Hii ni kwa sababu kila mzazi anamlazimisha mtoto kusomea udaktari kwa sababu ndiyo sekta yenye ajira na rahisi kujiajiri wakati ukweli ni kwamba udaktari na unesi ni sekta inayowafaa watu wapole sana ,wenye kujiheshimu, watulivu, wasio na majivuno, wasiri, wenye utu na upendo wa hali ya juu. Kwa karne hii kuna madaktari na manesi wakorofi kuliko wavuta bhangi wa vijiweni.

Mfumo mbaya wa Elimu unawafanya watu waliopaswa kuwa mabondia na wanakeshi kuwa madaktari na wahudumu kwenye nyumba za ibada.
Kisa tu mtu ana A au B kwenye masomo ya Sayansi. Mtu aliyepaswa kuwa daktari wa wanyama pori anakimbilia ajira ya udakatari wa binadamu.
Mfumo wa Elimu ungekua bora tungewaandaa watu tangu shule ya Msingi kwa kuspecialize kwenye taaluma anayoonekana kuipenda na kuifanya kwa uaminifu na kwa uhakika . Nyota njema huonekana asubuhi.
Kuna wakati Watu walikimbilia sana kwenye Uhasibu na manunuzi sio kwa sanabu wana wito bali kwa sababu palikua na magumashi mengi na mapesa ya kifisadi. Ukaja wakati fulani watu wakakimbilia Kuwa mawakili kwa sababu ya makesi ya mafisadi waliokua wanaishitaki serikali na kushinda kwa kulipwa mabilioni ya fedha.

Serikali ya Tanzania wanadili mfumo wa Elimu na kuweka mitaala inayowaandaa watu tangu wakiwa wadogo.
Sio mtu anamaliza kidato cha sita ndipo anaenda kusoma taaluma maalumu chuo kikuu. Huko chuoni anaanza kuwaza kichongo, mademu , wizi wa mali za umma na kazi ipi yenye madili ya kuhujumu uchumi wa nchi tena wanakua ni mtandao kabisa wa uhalifu wa mali za umma.
Iwekwe sheria kali inayowadhibiti wahuni kuajiriwa serikalini ili kuondokana na tabia ya watu wasiofaa kukimbilia kwenye ajira za umma.
Pia ajira za kujauana serikalini ni tatizo kubwa linalowaweka watu wasiofaa kwenye ofisi za umma
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom