ng'ombo
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 418
- 619
Timu ya madaktari waliookoa uhai wa Mh. Tundu Lissu kwa huduma ya dharura wakiwa chini ya Dr. Mpoki (katibu mkuu W/ Afya) Dr. Mponda (Orthopaedic) Dr. Samwel
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mama, inasikitisha sanayaan kitaeleweka tu ! hapo baba jesca anaumia leo kavua had miwani !dadek zake !tatizo Mungu ni mwingi wa REHEMA !angekuwa ni MUNGU WA VISASI! LEO bendera zingekuwa nusu mlingoti! angewaretisha in peace ikulu nzima !nyambaaafu
AmeniPongezi ziende kwao ila sifa na Utukufu virudi kwake Mwenyezi Mungu/Allah
(WAMEAPA)View attachment 583916
Timu ya madaktari waliookoa uhai wa Mh. Tundu Lissu kwa huduma ya dharura wakiwa chini ya Dr. Mpoki (katibu mkuu W/ Afya) Dr. Mponda (Orthopaedic) Dr. Samwel
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote watu wa MunguHongera sana kwao.
Dr Mpoki Ulisubisya sina shaka na utumishi wake. Ni mtu wa Mungu.
waendelee na moyo huo.ila huwa Mungu ndiye anayeponya wenyewe wanatibu tuView attachment 583916
Timu ya madaktari waliookoa uhai wa Mh. Tundu Lissu kwa huduma ya dharura wakiwa chini ya Dr. Mpoki (katibu mkuu W/ Afya) Dr. Mponda (Orthopaedic) Dr. Samwel
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawape posho wewe basi, au ungoje serikali ya Chadema "itakaowajali".Nawapongeza sana watumishi hawa wa umma jambo serikali ya CCM haiwajali hata kidogo.
sawa wote ni watu wa Mungu...Wote watu wa Mungu
Nonsenseyaan kitaeleweka tu ! hapo baba jesca anaumia leo kavua had miwani !dadek zake !tatizo Mungu ni mwingi wa REHEMA !angekuwa ni MUNGU WA VISASI! LEO bendera zingekuwa nusu mlingoti! angewaretisha in peace ikulu nzima !nyambaaafu