fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Kosa lao nini mpaka tuwafutie balozi zao?? Hivi wewe tukiwa tumesimama wote na wewe una dhahabu mkononi kisha ukaamua kuitupa nikiokota mbele yako ni kosa?? Lazima ifike mahali watanzania tuwawajibishe wanasiasa sio wao kuwa miungu kwa kuifaidi keki ya taifa lakini linapokuja swala la wataalamu ni ukandamizaji usio na kifani.Kwanini daa tuwafutie ubalozi woote watakaowaiba madr wetu!