Madaktari Waitishe Mgomo usiokoma kudai maslahi! Simameni Pamoja!

Hivi, Tanzania ina madaktari wangapi ambao wanatoa huduma ya kuangalia binadamu (Full MD siyo Medical Assistants au Medical Officers)? Na kati ya hao ni wangapi HAWAKO Dar-es-Salaam wako mikoani?

ndugu,MD mkoani ni wachache sana,nani ataenda kufanya kazi masasi au sehemu nyingine iliyo remote,hamna umeme,hamna maji,miundo mbinu mibovu,mishahara na posho kupata ni mgogoro?nchi zingine the further from town you work the more they pay you,hii inaleta motisha ya kufanya kazi
 
Mkuu naona umechanganya hapo,wenye fani yao watakuja kunisahihisha na mimi.Nadhani medical officers ndiyo MD,na wengine ndiyo hao medical assistants na clinical officers kama sikosei

MD ndio medical officer...mwenye adv.diploma ni assistant medical officer na diploma ni clinical officer
 
Hiyo makala ya Lula imejaa uchochezi na upotoshaji. Imeandikwa kisiasa (pengine na mwanasiasa, na kisha kubandikwa jina la mwandishi ) ni dhahiri kuwa mwandishi hakufanya utafiti wa kina kabla ya uandishi wake. Zimetumika zaidi hisia kuliko uhalisia.
 
Back
Top Bottom