webondo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,713
- 382
Ni sawa kabisa kuwafukuza kama wamekiuka terms ajira yao, sio wao tu hiyo ipo popote duniani unapokiuka taratibu za kazi unaadhibiwa. Tayari wananchi walikuwa wanaumia wakati wao hawaji kazini. Kusimamishwa kwao kazi bado hawako kazini -- means 0+0=0Akili ndogo kuongoza kubwa!
Unafukuza madaktari wananchi wanaumia.