Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

Hivi viza za kazi Botswana na Rwanda zinapatikanaje? Kwa nini hawa madaktari wasumbuliwe na wanasiasa ambao wana muda mchache tu kuwepo madarakani? Tena wengine ni wagonjwa wanatembea huku wakiwa wameshachomoka?
 
Nduguzangu Watanzani, Naomba tu nieleze wazi Mwaka huu autapita bila historia mpya kuandikwa apa Tanzania,
Nasema iyo kwani huu ni muda muafaka sana wa sisi Watanzania kuonyesha kwa thati kwamba serekali yetu imetudharau na kuwadhalilisha madaktari ambao ni nguzo muhimu apaduniani.
Sasa nimuda wa kuangalia jinsi ya ku organise maandamano amboyo yatatusaidi kushinikiza serekali dhaifu ituachi majengo yetu na warudi kwao. atutakubali kutawaliwa na watu wasiojua umuhimu wa binadamu wengine. kaziyao ni kuiba mpaka wanafikia mahala pa kuona watuwengini ni wadudu.
 
Nchi izo zote awaitaji visa mkuu, ww unafika pale na kugongewa muhuri, mpaka sasa hivi hizo nchi zinafurai na ziko tayari kuwapokea Madaktari na kuwapa mishaara minono na full allowance.
 
Hivi kwa mwendo huu miaka ijayo mbeleni wenetu watasomea udaktari kweli? Labda kama watakukuwa na uhakika wa ajira za Botswana

Wanaweza kabisa kusomea udaktari maana kuna nchi nyingi tu za jirani ambazo zinawathamini sana madaktari na pia huwalipa vizuri na kuwapa vitendea kazi.
 
hawa madokta hawa yaani we acha tu..wanachojivunia ni kuwa sio kila mwanasiasa anaweza kuwa dokta, ingawa madokta wote wanaweza kuwa wanasiasa..

Hii comment naipa saluteeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!
 
sasa kitu gani cha ajabu hapo nawe!! si hawataki kufanya kazi waendeleee kukaa wanafanya nini?? walipwe mishahara bila kazi??

Si ndio hapo sasa, hata mie mwenyewe najishangaa ninastaajabishwa na nini hapo. !

Kwa hiyo nasi tugome kukatwa kodi kwa kuwa hatupati huduma za afya kutokana na mgomo!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kweli ww hamnazo'eti kuanza upya c ujinga'..unajua elimu ya ma drs ni miaka 5 ww?unapoanza upya hao wagonjwa watatibiwa na nani?.do u think drs wakifukuzwa wanashida?kwa taarifa yako wanauwezo hata wa kuwa wafanyabiashara wazuri sana,...think b4 u write!

Mpe vidonge vyake huyo Kilaza...big up Christine
 
Si ndio hapo sasa, hata mie mwenyewe najishangaa ninastaajabishwa na nini hapo. !

Kwa hiyo nasi tugome kukatwa kodi kwa kuwa hatupati huduma za afya kutokana na mgomo!

Hili la kugomea kukatwa kodi lingekuwa linawezekana mbona ingekuwa poa sana, maana lingeimaliza Serikali hii fisadi/dhalimu mara moja...tutaambiwa turudi kwenye miti shamba wakati Serikali inatafuta Madaktari toka nchi za nje ambao wataingia nchini kama maTX na kulipwa mishahara mikubwa sana na marupurupu manono na kupewa vitendea kazi vya kileo kisha hii Serikali dhalimu kujipiga kifua kwamba imewakomoa madaktari Wazalendo.
 
Taarifa ambazo zimethibitishwa zinatabanaisha kuwa madaktari walio katika uzoefu kazini,INTERN doctors wameanza kufukuzwa katika hospitali mbalimbali ambapo katika hospitali ya DODOMA madaktari 11 kati ya 33 wamefukuzwa na madaktari wote 70 waliokuwepo hospitali ya rufaa mbeya chini ya ulinzi mkali wa polisi wameambiwa waondoke kufikia saa 11 jioni ya leo wakati huo huo mkurugenzi wa hospitali ya BUGANDO amewafukuza madaktari wote 44 na kuwataka warudi wizarani wakati madaktari waliosajiriwa wameamuriwa kufika kesho wawe kazini au la wanafukuzwa.

Wakati huo huo madaktari wakazi waliitwa na senate ya BUGANDO na kulazimishwa kurudi kazini lakini walikataa mbele ya senate hiyo hivyo wakaambiwa watafutiwa udahili wao na wote kwa pamoja wakapiga makofi wakisema wako tayari kwa hilo.

Habari zaidi zinazidi kupasha kuwa hospitali ya Mwananyamala wameletewa fomu za kujaza kama wako tayari kuendelea na kazi au la,ila madaktari wamesimamia msimamo wao huo kuwa mgomo uko pale pale.

Katika hatua nyingine CHUO CHA TIBA BUGANDO NA KILE CHA MUHIMBILI VIKO MBIONI KUFUNGWA kutoka na walimu wao ambao ni madaktari kugoma na mazingira kutokuwa rafiki kwa kujifunzia.

Wakati hayo yakiendelea taarifa zinasema hsopitali ya Tanga BOMBO imeingia rasmi kwenye mgomo na ile ya MOUNT MERU

Habari zaidi madaktari wanajiandaa kwa mass resignation muda wowote
\


FOR EVERYTHING BE CAREFULL tunaomba chanzo chanzo cha habari kwa uhakika kuhusu hapo nilipo highlight red(MUHAS)
 
Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.

Mk***u wako
 

Wanaweza kabisa kusomea udaktari maana kuna nchi nyingi tu za jirani ambazo zinawathamini sana madaktari na pia huwalipa vizuri na kuwapa vitendea kazi.

wakati tunasheherekea mgomo wa madaktar tusisahau kua wamegoma kututibu sisi watanzania wa kawaida kbs ambao apollo tunaisoma kwenye magazeti tu....kwa hali hii tuombe na magonjwa nayo yagome
 
wakati tunasheherekea mgomo wa madaktar tusisahau kua wamegoma kututibu sisi watanzania wa kawaida kbs ambao apollo tunaisoma kwenye magazeti tu....kwa hali hii tuombe na magonjwa nayo yagome

Nani amekwambia kuna watu tunasheherekea mgomo wa madaktari? Madaktari wanaomba kulipwa mishahara ambayo inaendana na taaluma yao ili waweze kukidhi gharama za maisha na pia kupewa vitendea kazi na kuboresha hospitali zetu ambazo zote ziko katika hali ya kutisha...Iweje Mbunge ambaye hajaenda shule apate mshahara mkubwa kuliko daktari aliyesota vyuoni miaka chungu nzima ili kuhitimu katika taaluma yake?

Hakuna hata Mtanzania mmoja anayesherehekea mgomo wa madaktari bali tunawaunga mkono kwa vile tunayaona madai yao yote yana umuhimu mkubwa katika kuboresha sekta ya afya nchini.
 
Haya ndo mambo ya Bugando, hapo chini ni barua ya madaktari kutimuliwa.
 

Attachments

  • Bugando Dismisal.pdf
    119.6 KB · Views: 76
drz mambo mazur yako mbele kwa mbele-mbele kwa mbeleeee, msikate tamaaa songa mbele mpaka kieleweke
 
unaweza kufukuza wabunge wote, au mawaziri wote, na taifa likawa 'a better place'. Lakini huwezi kufukuza madaktari. Ngoja uone.
 
Ee Mungu iangalie familia yetu sisi walala hoi asije akaugua mtu kwenye hiki kipindi cha mpito
 
Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.


Kichwani mwako mna mavi ya kuku.

Kama serikali ina hiyo hela kwanini asianze kuboresha mahitaji muhimu ya mahospitalini? Usije ukawaza madaktari wa msaada, ujue hakuna kitu cha bure katika mashirikiano. Usije ukalia utakapouzwa.
 
Back
Top Bottom