donniebrasco
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 887
- 770
Madaktari nchini China wamefanikiwa kubadilisha kichwa kutoka kwenye mwili wa MAITI moja na kuuweka kwenye mwili wa MAITI nyingine,
Wanaamini kabisa inawezekana kuweka kichwa kingine kwa mtu aliye hai.
Kumekuwa na upingaji mkubwa kuhusiana na ruhusa ya jaribio hilo,
Wengi wakiamini ni kitu ambacho hakiwezekani lakini DR SERGIO CANAVERO wa ITALIA pamoja na wenzake wanaamini kabisa kuwa tayari wameshafikia uwezo huo na wanaweza kufanya wakipewa ruhusa,
World’s first human head transplant conducted successfully, claims Italian scientist
Wanaamini kabisa inawezekana kuweka kichwa kingine kwa mtu aliye hai.
Kumekuwa na upingaji mkubwa kuhusiana na ruhusa ya jaribio hilo,
Wengi wakiamini ni kitu ambacho hakiwezekani lakini DR SERGIO CANAVERO wa ITALIA pamoja na wenzake wanaamini kabisa kuwa tayari wameshafikia uwezo huo na wanaweza kufanya wakipewa ruhusa,
World’s first human head transplant conducted successfully, claims Italian scientist