Madaktari Waamua Kutangaza Mgomo Rasmi Kuanzia Kesho tarehe 24/01/2012

Tusubiri kauli ya serikali!!itakuwa ni ya kutojali na vitisho ila wakumbuke kuwa madaktari ni tofauti na walimu,wao hawatishiwi nyau nakumbuka kuna mwaka waligoma muhimbili tu badala ya kutatua tatizo wakakimbilia wanajeshi eti kwenda mujimbili kuokoa jahazi ambapo na wao walichemsha!!!

Na si ajabu utasikia mtu anasema wanachochewa na wanasiasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kweli kabisa;sababu serikali imeenda likizo ya kufikiri
 
Watumishi wote wa sekta ya Afya nchini wametangaza kuanza mgomo wa nchi nzima kuanzia kesho tarehe 24/01/12 kwa madhumuni ya kudai maslahi yao. Source Clouds FM Jahazi:shock:

Mipango hii inaendelezwa na wasioitakia mema TZ kwa kuwashawishi watumishi wote wa sekta za huduma za jamii zigome ili kuichanganya serikali na kutotaka kutumia utaratibu uliomo kwenye sheria pamoja. Mazungumzo yanafaa zaidi lakini wahusika wanalipwa kukataa kila aina ya suluhu toka serikalini. Mafisadi wakuu wana mkono katika migomo hii kila sekta!!
 
Madhara ya serikali legelege ndiyo hii imeonekana wazi.

Ngoja sasa ndg zetu waliolazwa mahosptalini wakose huduma hata ya drip hala wizara husika ijisikie vizuri!

Sekta lengwa ni Wajinga wakubwa sana!
 
udaktari tabibu ni noble profession na mgomo ni upuuzi ukizingatia wamekula kiapo kwa mungu. Serikali imewasomesha buree wakati watanzania wengine wanalipa kila kukicha. Hizo ni kodi za watanzania. Walipe fadhila kwanza. Waache upuuzi. Kama wanataka maisha ya hollywood wabadilishe fani and it is too late now!! Hii ni ndoa na wanatakiwa kuitumikia kwa uadiilifu. Kama ni mgomo ungepaswa sis walipa kodi. Hadi hiyo mishahara yao ni kodi zetu. Na hata maboresho ya huduma ni kodi zetu pia. Sasa tutawasaidia mpaka lini. Acheni upumbaf fanyeni kazi ya ujenzi wa taifa hadi pesa zipatikane tutawaangalia mbeleni.

kwa maelezo yako siamini kama uko kwenye mfumo wa kulipa kodi, kwani majibu yako yamejaa dhihaka na dharau ambazo zinaweza kutolewa tu na mtu mwenye stress ya maisha lkn si mtu mwenye uelewa sahihi na anafanya kazi ya kuweza kulipa kodi na badala yake kodi zako unalipia tu kupitia bidhaa unazonunua hasa pombe na sigara kwa mtu kama wewe.

Wewe umesikia madai yao ya msingi hao madaktari? Je serikali imepata hata muda wa kuwasikiliza? Acha kubeza pale wengine wanapodai haki zao. Kama huna cha kuandika bora uache na si kutumia hoja hafifu kuwabeza madaktari.
 
Kwa nini tusiwape cho badala ya wale Wazembe Bungeni Dodoma kujiongezea Posho kila siku bila tija yoyote kwa wananchi?? Au mpaka tuanze kufa bila tiba ndio kilio cha Ma-Daktari kitapata kusilizwa?

Madaktari wetu mko sahihi jamani na ninawaunga mkono katika hili la MASLAHI ZAIDI ili iendane na huduma hasa mnazowapa Waheshimiwa Wabunge kwa kuwapeleka India.


umemaliza kila kitu, mimi sina cha kuongeza, naunga mkono hoja
 
hapa tunaposema siasa kila sehemu ndipo zinaibuka hoja nyingine na watu kuwaona madaktari kama wamekosa ubinadamu.
Chukulia mfano Mh. Job Ngugaa, Naibu Spika wa Bunge la Tanzania anaweza kufikia hatua ya kusema kuwa "angalia na Madaktari wanataka shillingi kadhaa, hivyo na sisi wabunge tunastahili", alafu unajiuliza mtu aliyetumia 'ujanja' wa kuwalaghai wapiga kura alipwe sawa au awe considered sawa na mtu aliyekaa darasani miaka mitano kusomea kazi ambayo utendaji wake hauna 'kuappeal' maana ukishakosea prescription za matibabu basi mgonjwa anakuwa na uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha
Tusubiri kauli ya serikali!!itakuwa ni ya kutojali na vitisho ila wakumbuke kuwa madaktari ni tofauti na walimu,wao hawatishiwi nyau nakumbuka kuna mwaka waligoma muhimbili tu badala ya kutatua tatizo wakakimbilia wanajeshi eti kwenda mujimbili kuokoa jahazi ambapo na wao walichemsha!!!

Na si ajabu utasikia mtu anasema wanachochewa na wanasiasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Udaktari tabibu ni noble profession na mgomo ni upuuzi ukizingatia wamekula kiapo kwa Mungu. Serikali imewasomesha buree wakati watanzania wengine wanalipa kila kukicha. Hizo ni kodi za watanzania. Walipe fadhila kwanza. Waache upuuzi. Kama wanataka maisha ya hollywood wabadilishe fani and it is too late now!! Hii ni ndoa na wanatakiwa kuitumikia kwa uadiilifu. Kama ni mgomo ungepaswa sis walipa kodi. Hadi hiyo mishahara yao ni kodi zetu. Na hata maboresho ya huduma ni kodi zetu pia. Sasa tutawasaidia mpaka lini. Acheni upumbaf fanyeni kazi ya ujenzi wa taifa hadi pesa zipatikane tutawaangalia mbeleni.

Heh? Mgomo ungewapasa walipa kodi? Waache upumbaf mtawaangalia mbeleni?!!!????? Watanzania wengine ni watu wa ajabu sana.
 
Amini usiamini, ndani ya siku yao ya kwanza tu ya kugoma kwao, Watanzania wengi masikini watakufa!...na watakufa kabla ya wakati, na wala si kwa mapenzi ya Mungu!
Kudai maslahi kwa kubadilishana na maisha ya binadamu wenzako ni kitendo cha uuaji!....Madaktari hawanyimwi mshahara, all they want ni nyongeza.
Je gharama ya kudai nyongeza inafikia maisha ya Binadamu mwenzako?...Je kuondolewa kazini kwa Blandina kunashinikizwa kwa kuua Watanzania masikini?...tuache mizaha jamani!...Madaktari acheni mikutano ya kuzimu ya mauaji, are you guys Devil agents?
 
HII Inasikitisha sana.Madhara ya kutokuzingatia taaluma na umuhimu katika maslahi tutayashuhudia pale wapendwa wetu watakapopoteza maisha hata pale ingewezekana kuokoa.Hapo sasa serikali na watendaji wake watakapojifunza somo la vipaumbele!
Kati ya Mbunge na Mwalimu yupi apewe maslahi zaidi? Kati ya wabunge na madaktari nani anastahili kuangaliwa kwanza?

Kati ya "kula nyama choma" na "kuvuta oxygen" kipi ni kipaumbele chenye kuhitaji kuwekewa pesa kwanza?
 
Mipango hii inaendelezwa na wasioitakia mema TZ kwa kuwashawishi watumishi wote wa sekta za huduma za jamii zigome ili kuichanganya serikali na kutotaka kutumia utaratibu uliomo kwenye sheria pamoja. Mazungumzo yanafaa zaidi lakini wahusika wanalipwa kukataa kila aina ya suluhu toka serikalini. Mafisadi wakuu wana mkono katika migomo hii kila sekta!!

We! serikali ndo inajichanganya yenyewe. Hakuna fisadi hapa na kama kuna fisadi anayetaka mazingira bora kwa madaktari na watumishi wote wa umma basi huyo ni fisadi mzuri. Msingi wa madai yote hapa ni kwamba serikali iache kutumia hela nyingi kugharamia siasa. Hela nyingi zitumike kuboresha jamii. Hiyo ni common sense na serikali isiyokuwa na hayo maono kwa vitendoi haina legitimacy ya kutawala.
 
Utasikia CDM ndio wamechoches mgomo,badala ya kutafuta muaraubaini a matatizo yanayowakabili,walimu,doctors,wafanyakazi wa umma etc,wao wanasingizia CDM ndio wachochea migomo,sasa sijui kusema hivyo ndio itakua suluhu ya matatizo yanayowakabili wahusika..
 
Udaktari tabibu ni noble profession na mgomo ni upuuzi ukizingatia wamekula kiapo kwa Mungu. Serikali imewasomesha buree wakati watanzania wengine wanalipa kila kukicha. Hizo ni kodi za watanzania. Walipe fadhila kwanza. Waache upuuzi. Kama wanataka maisha ya hollywood wabadilishe fani and it is too late now!! Hii ni ndoa na wanatakiwa kuitumikia kwa uadiilifu. Kama ni mgomo ungepaswa sis walipa kodi. Hadi hiyo mishahara yao ni kodi zetu. Na hata maboresho ya huduma ni kodi zetu pia. Sasa tutawasaidia mpaka lini. Acheni upumbaf fanyeni kazi ya ujenzi wa taifa hadi pesa zipatikane tutawaangalia mbeleni.

madaktari wanasomeshwa bureee?sikua najua,so HESLB huwa hawapiti,?
 
Sisi maskini tusioweza kwenda private hospital tumekwisha, hivi serikali huwa haiono sababu ya kutatua migogoro kwa mashauriano mpaka watu wagome au waandamane ndio wasikilizwe! Hii si sawa kabisa
Jamani mbadilike utawala wa hawa mabwana unatuchosha

Kama wamekuchosha umechukua uamuzi gani
 
Mipango hii inaendelezwa na wasioitakia mema TZ kwa kuwashawishi watumishi wote wa sekta za huduma za jamii zigome ili kuichanganya serikali na kutotaka kutumia utaratibu uliomo kwenye sheria pamoja. Mazungumzo yanafaa zaidi lakini wahusika wanalipwa kukataa kila aina ya suluhu toka serikalini. Mafisadi wakuu wana mkono katika migomo hii kila sekta!!

aaah,mdau kwani c hatuon wala kuckia madai yao?hebu wataje hao mafisad
 
Watumishi wote wa sekta ya Afya nchini wametangaza kuanza mgomo wa nchi nzima kuanzia kesho tarehe 24/01/12 kwa madhumuni ya kudai maslahi yao. Source Clouds FM Jahazi:shock:

Hiki kipindi cha hawa wehu bado kipo kumbe!!?
 
Udaktari tabibu ni noble profession na mgomo ni upuuzi ukizingatia wamekula kiapo kwa Mungu. Serikali imewasomesha buree wakati watanzania wengine wanalipa kila kukicha. Hizo ni kodi za watanzania. Walipe fadhila kwanza. Waache upuuzi. Kama wanataka maisha ya hollywood wabadilishe fani and it is too late now!! Hii ni ndoa na wanatakiwa kuitumikia kwa uadiilifu. Kama ni mgomo ungepaswa sis walipa kodi. Hadi hiyo mishahara yao ni kodi zetu. Na hata maboresho ya huduma ni kodi zetu pia. Sasa tutawasaidia mpaka lini. Acheni upumbaf fanyeni kazi ya ujenzi wa taifa hadi pesa zipatikane tutawaangalia mbeleni.
kwani hawa madaktari ni watoto wa kimarekani?hawa madaktari ni watoto wa wakulima na wafanyakazi wazalendo wa kitanzania ambao ni walipa kodi wa nchi hii.
 
Amini usiamini, ndani ya siku yao ya kwanza tu ya kugoma kwao, Watanzania wengi masikini watakufa!...na watakufa kabla ya wakati, na wala si kwa mapenzi ya Mungu!
Kudai maslahi kwa kubadilishana na maisha ya binadamu wenzako ni kitendo cha uuaji!....Madaktari hawanyimwi mshahara, all they want ni nyongeza.
Je gharama ya kudai nyongeza inafikia maisha ya Binadamu mwenzako?...Je kuondolewa kazini kwa Blandina kunashinikizwa kwa kuua Watanzania masikini?...tuache mizaha jamani!...Madaktari acheni mikutano ya kuzimu ya mauaji, are you guys Devil agents?

Muuaji wao hatakuwa daktari, muuaji wao ni serikali. Ni kweli watu watakufa lakini that is a price to pay kufikia lengo bora. Maisha mazuri kwa daktari ni uhai hata kwa wagonjwa. Kufanya kazi mazingira magumu chini ya kiwango kutaua watu wengi sana pia.
 
Kwa nini tusiwape cho badala ya wale Wazembe Bungeni Dodoma kujiongezea Posho kila siku bila tija yoyote kwa wananchi?? Au mpaka tuanze kufa bila tiba ndio kilio cha Ma-Daktari kitapata kusilizwa?

Madaktari wetu mko sahihi jamani na ninawaunga mkono katika hili la MASLAHI ZAIDI ili iendane na huduma hasa mnazowapa Waheshimiwa Wabunge kwa kuwapeleka India.

Pia wasikubali kuwapa statement ya kwenda kutibiwa nje wabunge wanaofanya muhimbili ni airport yao
 
Hivi serikali ipo wapi jamani ???usalama wa taifa hamuwashauri viongozi kumaliza migogoro kama hiyo?hamjui kuwa ndio chanzo cha usalama wa taifa zima kuwa mashakani??au nyie mnasubiri kusindikiza viongozi tu!??washauri wote na vyombo dola mnaogopa kutekeeleza wajibu wenu kushauri viongozi....PM ameshindwa kwenda na Katibu Mkuu kuongea nao hadi watu wafe waunde tume?mlikimbilia nini ikulu kama mnaogopa vivuli vyenu??
 
Back
Top Bottom