JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
Napenda kuwaomba na kuwakaribisha madaktari,kuleta hoja zao hapa JF Kama njia mojawapo ya kuendelea na mijadala yenye kushikiza haki kupatikana dhidi yao na kwa maslahi ya taifa letu kwa ujumla,Tunaendelea
kuwaambia kwa katika utafutaji wa haki mambo mengi hutokea ikiwa pamoja na usalaliti,uoga,na hata kupoteza maisha lakini ujasiri,busara na kuogopa dhambi ya uoga ndivyo vitakavyowaunganisha
MAPAMBANO DHIDI YA DHULUMA,UNYANYASAJI NA UKIUKWAJI DHIDI YA
MISINGI YA HAKI,USAWA,BADO YANAENDELEA ..................................??
Karibuni sana
JOB SEEKER
kuwaambia kwa katika utafutaji wa haki mambo mengi hutokea ikiwa pamoja na usalaliti,uoga,na hata kupoteza maisha lakini ujasiri,busara na kuogopa dhambi ya uoga ndivyo vitakavyowaunganisha
MAPAMBANO DHIDI YA DHULUMA,UNYANYASAJI NA UKIUKWAJI DHIDI YA
MISINGI YA HAKI,USAWA,BADO YANAENDELEA ..................................??
Karibuni sana
JOB SEEKER