mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
kwa hiyo hela za kuwalipa madaktari wa cuba wanazo ila za kuwalipa madaktari wa hapa hawana?
na hao madaktari wataenda mpaka nanjilinji au wataishia muhimbili?
ama kweli akili ni nywele..........
Hizi ni ndoto za mchana huku Wanatembea!!!!!!!!!!
Kama Serikali ya Tanzania imeshindwa kutekeleza madai ya watumishi wake wa kitanzania ambao:-
(1) Wanaishi Manzese kwa gharama yake
(2) Wanatumia usafiri / daladala kwa gharama yake
(3) Wanaenda Tandale sokoni kwagharama yake.
(4) Wananunua mitumba kwa gharama yake.
JE, WATAWEZA...............!!!!
MTUMISHI TOKA NJE YA NCHI.......SERIKALI IGHARAMIE.....
(1) Mshahara ambao siyo pesa za madafu zisizo na thamani.
(2) Malazi
(3) Chakula
(4) Usafiri
(5) Other International Benefits.
Leo hii Serikali haina pesa hata kulipa mishahara watumishi wake, sembuse hao wa nje itawalipa nini.
Tunajua kuwa Srikali yetu huwa inaropoka tu na tulishuhudia hata mgomo wa kwanza Pinda aliropoka na baada ya walalahoi kufa kwa wingi akaamua bila aibu kuwa mnyenyekevu na kuongea na madakitari. Na ndio mchezo anaoufanya leo tena.
SERIKALI IFIKIE WAKATI IELEWE UBABE HAUFAI.
YANGU MACHO :A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!