Wakuu habari za asubuhi?
Ni muda wa miaka miwili sasa nimekuwa nikisumbuliwa na huu ugonjwa wa ngozi ujulikanao kitaalamu kama dermatiris au eczema. Nishaenda hospital zaidi ya mara tano na kuandikiwa dawa mbalimbali lakini umekuwa ukijirudia mara kwa mara
Nimejitahidi kufata masharti niliyopewa na bado siponi na mbaya zaidi kila ninapoamka uso unakuwa umetandwa na utando mweupe japo limekuwa linanikera sana
Je, ugonjwa huu una tiba mbadala inayoweza kumaliza kabisa huu ugonjwa au hauna tiba ya kudumu!
Kwa anaejua please naombeni msaada wa tiba
Eg ugonjwa huu unanitokea maeneo ya usoni pekee yake.
Ni muda wa miaka miwili sasa nimekuwa nikisumbuliwa na huu ugonjwa wa ngozi ujulikanao kitaalamu kama dermatiris au eczema. Nishaenda hospital zaidi ya mara tano na kuandikiwa dawa mbalimbali lakini umekuwa ukijirudia mara kwa mara
Nimejitahidi kufata masharti niliyopewa na bado siponi na mbaya zaidi kila ninapoamka uso unakuwa umetandwa na utando mweupe japo limekuwa linanikera sana
Je, ugonjwa huu una tiba mbadala inayoweza kumaliza kabisa huu ugonjwa au hauna tiba ya kudumu!
Kwa anaejua please naombeni msaada wa tiba
Eg ugonjwa huu unanitokea maeneo ya usoni pekee yake.