Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,089
Mazungumzo ya nini? imekuwa ngoma ya kitoto ambayo ni kutingishiana kiberiti? serikali ya wapi iko hivyo kwa kuwasamehe tu waende kwanza JKT huko watawatibu Raia bila malipo ndipo wajue TZ itajengwa na wenye MOYO sio wanaokimbilia 7.7m
mm sishauri mazungumzo bora wakatafute maisha bora nje ya nchi huko kuna maslahi bora kuliko hapa RUKSA
mm sishauri mazungumzo bora wakatafute maisha bora nje ya nchi huko kuna maslahi bora kuliko hapa RUKSA