EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
Juzi kuna rafiki yangu mmoja wa kike alinipa stori kuwa alikwenda kwa daktari kufanyiwa check up ya kawaida tu akakutana na habari za vua nguo, lala hapo, tanua miguu na kadhalika.....................
Nikapata muda wa kutafakari kidogo namna ambavyo madaktari wanatumia taaluma yao kuchungulia wanawake.............. Mbona si huwa hatukutani na habari hizo? Eti jamani!
Nikapata muda wa kutafakari kidogo namna ambavyo madaktari wanatumia taaluma yao kuchungulia wanawake.............. Mbona si huwa hatukutani na habari hizo? Eti jamani!