Madaktari Mt Meru Hospital Arusha waripoti kazini chini ya ulinzi wa polisi na JWTZ?

migomo ni mhimu sana hasa pale kunapokuwa na kutokusikilizwa. wanaorudi wamenunuliwa/kurubuniwa na kwamba watangaze kwenye tv kuwavunja moyo wanaharakati wa mgomo. hakuna kurudi nyuma hadi kieleweke!!!
 
Dr ulimboka atafutwe akiwa hai au mfu hawezi kuorganize mauaji haya ya wAgonjwa wasio na hatia!!
 
mt meru waligoma?

Mkuu moun meru hawakugoma.ikumbukwe hata tarifa ya pm pinda alisema hayo wakati akitaja mikoa na hospto ambazo hazikuingia kwenye mgomo.pia nathibitisha walikua kazini.tatizo ni huduma zao kua mbovu zaidi.lakn hilo tumelizoe pale mount meru
 
Nawapongeza kwa ujasiri wa kurudi kazini

Mount meru hawakugoma,suala la kurudi kazini linatoka wapi???ijumaa walidai kuwa leo (jumatatu) wangekutana na mganga mkuu ambaye alikuwa amesafiri ili kujadili mgogoro huu,tusipotoshe.
 
Mkuu moun meru hawakugoma.ikumbukwe hata tarifa ya pm pinda alisema hayo wakati akitaja mikoa na hospto ambazo hazikuingia kwenye mgomo.pia nathibitisha walikua kazini.tatizo ni huduma zao kua mbovu zaidi.lakn hilo tumelizoe pale mount meru

Wanajifanya waungwana kwa Serikali, Wenzao wanaojitoa Muhanga wakifanikiwa nao watataka wawe kwenye kundi la Nyongeza ya hela. Watanzania bana! Wengi wametawaliwa na unafiki tu
 
migomo ni mhimu sana hasa pale kunapokuwa na kutokusikilizwa. wanaorudi wamenunuliwa/kurubuniwa na kwamba watangaze kwenye tv kuwavunja moyo wanaharakati wa mgomo. hakuna kurudi nyuma hadi kieleweke!!!

ndugu yangu naomba uelewe kuwa ukombozi uletwa na watu wachache,na wasaliti kamwe hawatakosa,kama hata kwa mitume 12 msaliti alipatikana itakuwa kwa watu zaidi ya 2000???wakati wa uhuru baadhi ya mababu zetu walikuwa kikwazo cha uhuru mpaka kuuza ndugu zetu kama ng'ombe ila mwisho walishindwa,tambua kuwa kwenye haki ushindi ni lazima kinachoweza kutokea ni ucheleweshaji tu,leo watafanikiwa kuwaburuza lakini kuna siku watakwama.
 
Wanajifanya waungwana kwa Serikali, Wenzao wanaojitoa Muhanga wakifanikiwa nao watataka wawe kwenye kundi la Nyongeza ya hela. Watanzania bana! Wengi wametawaliwa na unafiki tu

Hiyo ndiyo tabia za watu na nitashangaa kama madaktari hawakutambua hilo!!na bado,kinachofuata wataandaa mazungumzo kwenye baadhi ya TV hasa TBC na kuwaponda madokta.
 
Wadau, nakiri nimeiona habari hiya katika ITV usiku huu mwisho mwisho - madaktari wakiwa na maafisa wa polisi na wa JWTZ katika mkutano na mmoja wa hao madaktari akielezea umuhimu walioona wa kurudi kazini, akisema serikali inashughulikia suala lao na hapo hapo kuwalaumu madaktari wengine waliogoma.

Nauliza jee walilazimishwa kuripoti au walikwenda kwa hiari yao?


Aliyeoona habari hiyo in full atujuze hapa.

mbona arusha na Kagera ilishakuwa mikoa ya kijeshi siku nyingi,wala usishangae ndugu yangu kwa hili.
 
Back
Top Bottom