Pombe za ofa hizo mkuu.Na kwa nini unywe pombe wakati unatumia dawa?
Aaah sio mchezo mkuu, mm nilishawahi Kukaa nayo kichwani mpaka niliomba Mungu aloo na kutubu maana muda unaenda Nalala naamka lakini zigo ninalo tu,Tangu siku ilipotaka kumuondoa mke wa jirani yangu aliyedanganywa baada ya masaa 6 inakuwa haina nguvu wala sidanganyiki eeeh!
Uko vizuri, kumbe sio kula tunda kimasihara tu!Hakuna dawa ambayo ukichanhanya na Pombe haitakuletea shida ila tu Utofauti upo kwenye madhara yake na ukubwa wake.. Kuna dawa kama Metronidazole na dawa za jamii hii ukinywa na Pombe umeishaaa. Zingine zitakupa changamoto tu ambazo zinaweza zisiwe mbaya.
SABABU KUBWA NI
Kila dawa huwa inachakatwa kwenye Ini ili iweze kufika hatua ya kutolewa nje lakini Pombe pia huchakatwa na maini so endapo Umekunywa pombe na dawa Ini linaweza kuchaka pombe itoke kwanza na kuacha dawa inazidi kuaccumulate ndani ya damu au zile product za dawa mpaka kufikia kiasi cha kuleta shida. USINYWE POMBE NA DAWA.
Watu wanatanguliza ulevi mbele kuliko afyaa zao Kufa kimasiharaa tuUko vizuri, kumbe sio kula tunda kimasihara tu!
Unakuta mtu anaumwa lakini kujizuia kunywa pombe kwa muda hawezi wakati ni kitu kinachozuilika. Kweli asikwambie mtu Bia tamuWatu wanatanguliza ulevi mbele kuliko afyaa zao Kufa kimasiharaa tu
Sawa mkuu. Umetoa muongozo mzuri bila shaka wengi wamefaidika hapa.Hakuna dawa ambayo ukichanhanya na Pombe haitakuletea shida ila tu Utofauti upo kwenye madhara yake na ukubwa wake.. Kuna dawa kama Metronidazole na dawa za jamii hii ukinywa na Pombe umeishaaa. Zingine zitakupa changamoto tu ambazo zinaweza zisiwe mbaya.
SABABU KUBWA NI
Kila dawa huwa inachakatwa kwenye Ini ili iweze kufika hatua ya kutolewa nje lakini Pombe pia huchakatwa na maini so endapo Umekunywa pombe na dawa Ini linaweza kuchaka pombe itoke kwanza na kuacha dawa inazidi kuaccumulate ndani ya damu au zile product za dawa mpaka kufikia kiasi cha kuleta shida. USINYWE POMBE NA DAWA.
Tulia wewe, kila mtu anafundishwa namna ya kuvuka barabara lkn udaktari ni wachache wanafundishwaUkivuka barabara ni mpaka mtu wa usalama barabaran akwambie angalia magari ndio uangalie?
Ohooo sio kamba hii kweli?Hata kula mbususu nayo ni hatari.
Kuna jamaa aliugua TB kutokana na matumizi ya moto muda mrefu,(yeye ni mkaanga chipsi)..
Alikuja kupata nafuu kama miezi sita hivi kupita..
Kuugua muda mrefu akajikuta siku moja nyege zimempanda kinoma,ikabidi aende bafuni kupiga punyeto,ile kupiga bao tu akasikia kizinguzungu,miguu ikaisha nguvu akaanguka chini pwaaa kama mzigo na kupoteza fahamu.
Kaja kuzinduka siku ya tatu yupo hospitali kashapigwa madrip kibao,na ugonjwa ukaanza upyaaa mara mbili ya mwanzo,aliumwa nusu afe.
Kwani shudu haliendani na bia?ARV
mkuuuu
Huo sio udaktari ni common sense tu.Tulia wewe, kila mtu anafundishwa namna ya kuvuka barabara lkn udaktari ni wachache wanafundishwa
Sawa mrembo. Ila jua kuna watu wengi hawafahamu na wanaendelea kupotea kwa njia hiiHuo sio udaktari ni common sense tu.
Ni nani huyo mkuu?Kuna pisi moja ya ukweli sana imepotea. Naskia ilichanganya pombe na dawa.
Kwa nini hamsemi? Mnafurahi mtu akifa?
Haya ninyi madaktari mliomo humu hebu tusaidieni orodha ya dawa ambazo haziendani na pombe.
Msisubiri watu wafe ndo mjifanye kusikitika.
Ahsante.
Pisi moja huku namtumboNi nani huyo mkuu?
Naskia ilimaliza doz, sasa haikujua kama unatakiwa kusubili japo hata sikub2Ni uzembe wake hiyo Pisi...
Toka lini uchanganye pombe na dawa hata bila kuambiwa...
Makosa ya Pisi, angerudi kupata ushauri wa daktari...Naskia ilimaliza doz, sasa haikujua kama unatakiwa kusubili japo hata sikub2
OkPisi moja huku namtumbo