Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Madaktari wetu kwa baadhi ya hospital na vituo vya afya wamekuwa kama sio madaktari kabisa.
Leo mtoto wangu amepelekwa hospital moja mkoani singida kupima afya mara baada ya kuonekana anatapika na kuharisha.
Sasa alipopimwa mama mtoto akaandikiwa dawa bila ya hata daktari kumwambia mtoto anasumbuliwa na nini?.
Jioni natoka kazini, ile kufika nyumbani nakuta mtoto bado anaumwa tu ,kunyonya hataki wala nini.
Sasa mwanamke namuuliza mtoto kapimwa amekutwa anasumbuliwa na nini?. Anasema daktari kampima na kuanza kumuandikia dawa. Sasa namuuliza huku muuliza daktari kilichogundulika kinamsumbua?. Anasema hapana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mtoto wangu amepelekwa hospital moja mkoani singida kupima afya mara baada ya kuonekana anatapika na kuharisha.
Sasa alipopimwa mama mtoto akaandikiwa dawa bila ya hata daktari kumwambia mtoto anasumbuliwa na nini?.
Jioni natoka kazini, ile kufika nyumbani nakuta mtoto bado anaumwa tu ,kunyonya hataki wala nini.
Sasa mwanamke namuuliza mtoto kapimwa amekutwa anasumbuliwa na nini?. Anasema daktari kampima na kuanza kumuandikia dawa. Sasa namuuliza huku muuliza daktari kilichogundulika kinamsumbua?. Anasema hapana.
Sent using Jamii Forums mobile app