Madaktari, manesi na watu wa maabara ajira zenu ziko mashakani

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,850
155,795
Ndugu zangu watu sekta ya afya, nawaoneeni huruma sana tena sana. Kaka Beberu (🐐🐐 🇺🇸 a.k.a Rich Goat) anaenda kutupunguzia misaaada, ba ameenda mbali zaidi kwa kuwashawishi mijibeberu myenzao pia ifanye kutubana kutokana na wivu tu wa sisi kupanda daraja la kiuchumi.

Kutokana na hotuba ya Jana pale jumba la dhahabu, baba kaweka wazi mipango yake ya miaka mitano, hamna sehemu kataja mfuko wa bima ya afya, hi kwa ajira zenu sio changamoto.

Changamoto ni hii Hapa

IMG_20201114_031942_762.JPG

Yaani upo ndani ya ndoa, umeolewa, halafu bila kupepesa macho, mume anakutangazia rasmi, kuanzia leo wewe Mke wangu na msichana wa kazi, mna haki sawa na hadhi sawa.

Mkuu kasoma mchezo, kagundua hatutakuwa hatuna tena madawa ya msaada, Wala kasenti ketu hakatutoshelezi, hivyo basi, watu wa sekta ya afya mtapunguzwa ili kubana matumizi.

Kama ulikuwa hujui kubeti, Bora uanze kujifunza sasa.

Umechezea cadaver mwaka mzima halafu Manyaunyau na damu zake za paka anakuja kukuondoa wodini.

I love CCM
 

Attachments

  • R46579.pdf
    1 MB · Views: 29
Bora wapunguzwe tu we ukienda Muhimbili huduma zenyewe hovyo wanataka rushwa mgonjwa anaweza kulazwa humo anaongezewa drip tu vipimo hafanyiwi kila ukienda ukifuatilia wampime wanapiga chenga mara kesho atapimwa mara highpertension iko juu visingizio kibao hovyo kabisa kama huna hela ya kuhonga mgonjwa atakufa wanamwangalia.
Shame on you Kama mishahara midogo si muache kazi mkajiajiri huko mfungue hospital zenu mpige pesa nyingi.
Mlisomea masuala ya afya kuokoa uhai wa watu? au mtese viumbe vya Mungu siku ya Mwisho nyie ni motoni.​
 
Bora wapunguzwe tu we ukienda Muhimbili huduma zenyewe hovyo wanataka rushwa mgonjwa anaweza kulazwa humo anaongezewa drip tu vipimo hafanyiwi kila ukienda ukifuatilia wampime wanapiga chenga mara kesho atapimwa mara highpertension iko juu visingizio kibao hovyo kabisa kama huna hela ya kuhonga mgonjwa atakufa wanamwangalia.
Shame on you Kama mishahara midogo si muache kazi mkajiajiri huko mfungue hospital zenu mpige pesa nyingi.
Mlisomea masuala ya afya kuokoa uhai wa watu? au mtese viumbe vya Mungu siku ya Mwisho nyie ni motoni.​
Hahaha eti "highpertension iko juu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana visingizio vingi we acha tu mara kipimo hiki hakutakiwa kunywa chai Sasa kanywa chai inabidi kumuandaa mpaka kesho, mara ooh Kesho siku ya vipimo vya watoto tu watu wazima Kesho kutwa daah lengo wakuzungushe tu ili uwape pesa.​

Mnapenda sana kulaumu, mnafikiri ninyi tu mnaostahili kufanyiwa mema kila wakati.

Fuata maelekezo na utaratibu wa kila sehemu, na hata wewe konda wa daladala kuna unaowatesa vile vile.

Kuchanganyikiwa unapokuwa mgonjwa au unauguza ni suala la kawaida, kueleweshwa kusubiri vipimo na vitu kama hivyo sio rahisi kuelewa.

But YES, wahudumu nao ni watu na wanachoka... hata BAR unaweza kuagiza BEER yako au nyama-choma ikachelewa kuletwa hadi ukamaindi.

Hii ni kila sehemu, isipokuwa chache zenye maslahi chap... ila mhudumu wa afya atalaumiwa sana kwa vile anahusishwa na uhai wako moja kwa moja.

Hutaki kukata roho? Hiyo ulipewa bure ni mali ya Mungu usimpangie acha aitwae!
 
VERY pessimistic mindset; Tanzania is steadily moving forward. You better adjust your broken clocks, labda ndizo zinagonga mizunguko ya "shangazi-clock-waizi!"
 
Back
Top Bottom