green card inayosemwa ni card ya BIMA ya AFYA ya NHIF ambayo unakuwezesha kutibiwa hospitai yoyote nchi hii iwe ya serikali au private bila kujali ggarama zao na unaweza kufanyiwa kipimo chochote na pia unaweza kupata dawa yoyote inayohitajika kutibiwa tatizo lako bila kujali gharama alimradi inapatikina hapa nchini.
na ukulazwa unapewa first class na kupata huduma bora kabisa.
hii ndo green card
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.