Dr Klinton
Senior Member
- Jan 21, 2012
- 123
- 152
taarifa ni kuwa madaktari KCMC wamefungiwa ktk ukumbi wa mkutano na wana usalama
Naona nguvu ya dola sasa inatumika
Naona nguvu ya dola sasa inatumika
huwezi kushindana na madaktari na hilo linajulikana hata nchi za wenzetu. Madaktari wenyewe tunao 10 tu nchi nzima. Wapeni HAKI zao kampuni yenyewe ni ya MUZUNGU na wao wana matumizi pia.... kama nyie mlioko hko Dodoma.....(nchi ishauzwa kwa wazungu)taarifa ni kuwa madaktari KCMC wamefungiwa ktk ukumbi wa mkutano na wana usalama
Naona nguvu ya dola sasa inatumika
Dr Klinton nashukuru kwa taarifa,lakini je source ya news hii unahakika?na je wamewafungia kwa sababu gani?au walikuwa kwenye mkutano?taarifa ni kuwa madaktari KCMC wamefungiwa ktk ukumbi wa mkutano na wana usalama
Naona nguvu ya dola sasa inatumika
ni kubwa mno ha wauguzi washasema hawafanyi na madaktari toka Lugolo Jeshini sasa patamu hapo.Serikali this time hawana pa kutokea,.wanatakiwa wajiangalie upya..