Madaktari hospitali ya Sinza wanaomba rushwa

Baba yenu

JF-Expert Member
Jun 17, 2016
1,053
1,417
Nimekuwa nakuja hapa Sinza palestina kwa siku nne mfululizo nikiwa namgonjwa nakuja kumuona

Jaman kuna kijana hapa mkewe ana siku leo ya tano hapa siku zake za kujifungua zimepita karibia mwez na mkewe anashikwa uchungu ingawa njia haijafunguka na haifunguki

Solution madaktari wanasema lazima apasuliwe sasa shida imekuwa wanampiga danadana mara kesho,mara kesho kutwa lakin pembeni wanamuuliza kama ana laki nne wamfanyie mkewe fasta
Jamaa hiyo pesa hana na mkewe anateseka sababu presure imeshuka na ana kisukari ila hawajali

Cha ajabu kuna wanawake wanakuja siku moja na kuingizwa kufanyiwa upasuaji huku yeye wakimpiga danadana
Leo jamaa kaniambia wamemwambia kama ana laki mbili awape na yeye anavyodai ana hali mbaya hana hiyo pesa

Anasubiria kudra za Mungu tu jaman mpaka namuonea huruma
Kwa wale mnaofanya kazi hosp nisaidie hiyo siyo rushwa? Kwahiyo bora huyu mama afe kwa sababu hiyo laki nne imekosa?

Nimeumia sana!
 
he must act fast to secure the life of the wife and baby ,hospital siku hizi lazima chochote ndio mambo yaende mkuu
 
Hana pesa, sawa. Je, ngumi nazo hana? Amtwange mmoja anayemwomba rushwa au amrekodi. Au anashindwa kwenda kumuona DC kumueleza kadhia hiyo? Au aruke hapo wizarani fasta au awaone wakuu wa hospitali hiyo wamsaidie. Awamu hii ukionewa na kima yeyote umeyataka mwenyewe.
Hahahah ha eti atwange ngumi
 
Jamaa analia tu hapa jaman anadai kuna dokta sijui anaitwa Asenga aisee kamfanyia unyama sana
 
Kwa ushauri wangu jamaa amwone mganga mkuu wa hospitali anaepatikana hapo hapo hospitalini aelezee tatizo lake haraka au aende kwa aidha Katibu wa Afya wa manispaa (Municipal Health Secretary) au mganga mkuu wa manispaa (MMOH/ DMO) ambao wote wanapatikana pale Idara ya afya iliyopo Magomeni karibu na ofisi za mkuu wa wilaya. Naamini atapata msaada wa haraka kuokoa maisha ya shemeji yetu na mtoto.
 
Kwa ushauri wangu jamaa amwone mganga mkuu wa hospitali anaepatikana hapo hapo hospitalini aelezee tatizo lake haraka au aende kwa aidha Katibu wa Afya wa manispaa (Municipal Health Secretary) au mganga mkuu wa manispaa (MMOH/ DMO) ambao wote wanapatikana pale Idara ya afya iliyopo Magomeni karibu na ofisi za mkuu wa wilaya. Naamini atapata msaada wa haraka kuokoa maisha ya shemeji yetu na mtoto.
Ngoja nimsake hapa nimwambie maana sijatoka
 
kwani kujifungua kwa operesheni nako ni bure, tuanxie hapo kwanza?
Hiyo ni emergence, save somebody's life first baadaye kama kuna malipo ndo unampa bill. Wasamaria wanaweza kujitolea kumsaidia kulipa bill. Jamii yetu ndo maana tunaitwa wanyama pori sababu hatuna utu kabisa. Ndo maana tunauwana kama wanyama pori. Imagine Daktari kwa profession yake anashindwa kujua the essence of somebody's life. We are too much material. We appreciate much of material things and ignore our values. The values of being, is nothing to us. That is pathetic. Halafu eti watu wanakuja wanalala Watanzania tunapendana sana. Upendo wa Kinafiki tu.
 
Nimekuwa nakuja hapa Sinza palestina kwa siku nne mfululizo nikiwa namgonjwa nakuja kumuona

Jaman kuna kijana hapa mkewe ana siku leo ya tano hapa siku zake za kujifungua zimepita karibia mwez na mkewe anashikwa uchungu ingawa njia haijafunguka na haifunguki

Solution madaktari wanasema lazima apasuliwe sasa shida imekuwa wanampiga danadana mara kesho,mara kesho kutwa lakin pembeni wanamuuliza kama ana laki nne wamfanyie mkewe fasta
Jamaa hiyo pesa hana na mkewe anateseka sababu presure imeshuka na ana kisukari ila hawajali

Cha ajabu kuna wanawake wanakuja siku moja na kuingizwa kufanyiwa upasuaji huku yeye wakimpiga danadana
Leo jamaa kaniambia wamemwambia kama ana laki mbili awape na yeye anavyodai ana hali mbaya hana hiyo pesa

Anasubiria kudra za Mungu tu jaman mpaka namuonea huruma
Kwa wale mnaofanya kazi hosp nisaidie hiyo siyo rushwa? Kwahiyo bora huyu mama afe kwa sababu hiyo laki nne imekosa?

Nimeumia sana!
Ww nenda na huyo ndugu wa mgonjwa kwa hao madaktari halafu warekodi jinsi wanavyoomba rushwa, jitahidi uwahoji kwa kirefu ili tupate ushahidi tuwapeleke mahakamani. Very sad!!
 
Hiyo ni emergence, save somebody's life first baadaye kama kuna malipo ndo unampa bill. Wasamaria wanaweza kujitolea kumsaidia kulipa bill. Jamii yetu ndo maana tunaitwa wanyama pori sababu hatuna utu kabisa. Ndo maana tunauwana kama wanyama pori. Imagine Daktari kwa profession yake anashindwa kujua the essence of somebody's life. We are too much material. We appreciate much of material things and ignore our values. The values of being, is nothing to us. That is pathetic. Halafu eti watu wanakuja wanalala Watanzania tunapendana sana. Upendo wa Kinafiki tu.
Umeongea ukweli kaka
 
Awe na Subira tu shemej atakuwa poa ''ingekuwa ni Emergency case angeshafanywa C/S maramoja wale wamama wanaoenda c/s wapo na complcatn zaid kushinda yy ''huyo shem anaweza kuwa yupo kwenye trayo anaweza kudeliver cvd''madactar sio wajinga hivo na hatuna njaa hizo mkuu
Lazma itakuwa every thngs is fyn kwa maza na beb tatizo ni edd tu kuzid ambayo ni Norman inaweza kuzd 2weeks au kupungua 2weeks ni kawaida aache kupanik
Swala la rushwa ni jingne kabisa halihusian na mgojwa kutojufanywa c/s km indication za kwenda theatre zipo ataenda tu huyo doctor anaekudai rushwa mmpuuze
Hata hvyo tusipende kujaji vitu upande mmoja tu tena kwa hisia kal kwa kulaumu tu
 
Awe na Subira tu shemej atakuwa poa ''ingekuwa ni Emergency case angeshafanywa C/S maramoja wale wamama wanaoenda c/s wapo na complcatn zaid kushinda yy ''huyo shem anaweza kuwa yupo kwenye trayo anaweza kudeliver cvd''madactar sio wajinga hivo na hatuna njaa hizo mkuu
Lazma itakuwa every thngs is fyn kwa maza na beb tatizo ni edd tu kuzid ambayo ni Norman inaweza kuzd 2weeks au kupungua 2weeks ni kawaida aache kupanik
Swala la rushwa ni jingne kabisa halihusian na mgojwa kutojufanywa c/s km indication za kwenda theatre zipo ataenda tu huyo doctor anaekudai rushwa mmpuuze
Hata hvyo tusipende kujaji vitu upande mmoja tu tena kwa hisia kal kwa kulaumu tu
Kaka labda utafute staff mmoja wa palestina atakupa info za huyo Assenga hata wao wamemchoka na wanamchora kwa tabia zake za kupenda hela! Fatilia na wewe usikie
 
DOKTA ASENGA ACHA KUPENDA KUPOKEA RUSHWA WATU WANAKULAUMU HUKUUU.......

MAGUFULI YUKO NYUMA YAKO UTATUMBULIWA VERY SOON.......
 
Kaka labda utafute staff mmoja wa palestina atakupa info za huyo Assenga hata wao wamemchoka na wanamchora kwa tabia zake za kupenda hela! Fatilia na wewe usikie
Hiyo ni tabia ya mtu tu haimanish mgojwa hatopata huduma wodin kuna staff weng wanaomsaidia mgojwa hawawez kumwacha et mpaka wapate Pesa hiyo ni impossible kinacho fanyika pale mara nyng doctor anakusoma maind yako unawasiwas kias gan na mgojwa wako na anafanya mapema sana pale mnapofka tu hosp na akiona unatoa maelezo na unahofu sana km ni mpenda rushwa anakuchomekea hapo leta kias fln kwajl ya vifaa tumwahishe oparation km unazo unatoa au utakopa
Saingne mgojwa anakuwa amesha jifungua mda mrefu ila kwakuwa huruhusiw kumwona ndio znatumika hizo mbinu sio kwamba ataachwa hapana
Na mtu wa kuuliza zaid kuhusu mgonjwa wako muulize Nurse ndio anakaa na mgojwa mda wote na yy complication mbaya huwa ndio anamtaarifu doctor amchek ndio uamuz wa theatre unatoka
Haina haja ya kupandisha presure mgonjwa atahudumiwa tu lazima hawawez kumwacha apate matatzo baadaye doctor anatoa maelezo kwann mgojwa kafa au mtoto
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom