Madaktari: hatumtaki Pinda ni mwongo tunamtaka Kikwete na msimamo wetu wa kutoa kauli ni Olimboka

dosama

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
912
957
Madaktari hawana imani tena na Waziri mkuu Pinda kwa sababu ni kigeugeu na mwongo na mazungumzo ya mara ya mwisho walivyokubaliana sio kama anavyouekeza umma na amekuwa mnafiki wa kupeleka hoja za mlengo wa serikali pekee.

Mara ya mwisho walimtaka makubaliano yawekwe kwenye maandishi akasema wamwamini atafanya lakini kawalika kimanga.

Na msemaji wao wamemuumiza na wa kusema juu ya mgomo ni Olimboka atakapo pona ndio atatoa tamko kwa kuwa ndio msemaji wao.
 
Ndo mana leo kaambiwa aachie ngazi na Tundu Lisu, bahati mbaya akachukia baada kuambiwa kauli hiyo! Amemtisha kwakumjibu "wrong approach"! Mana yake ni kwamba ati Tundu hakupashwa kuuliza hilo swali! Bi Mkora kama kawaida kajifanya anamtetea Pinda, lakini ukweli kausema! Big up Tundu! Mr Pinda yhe best way is you to resign as soon as possible!
 
Mbona aliyetoa Tangazo la Mgomo ni Dr.Mkopi?
Mbona siku zote Dr.Ulimboka alipokuwa na afya njema hakuwahi kusema chochote kwa kigezo hicho?
Kama ni kweli hilo, basi ni kiashiria kimojawapo kwa serikali kuhusika katika kutaka kumpoteza Dr.Ulimboka.
 
Madaktari hawana imani tena na Waziri mkuu Pinda kwa sababu ni kigeugeu na mwongo na mazungumzo ya mara ya mwisho walivyokubaliana sio kama anavyouekeza umma na amekuwa mnafiki wa kupeleka hoja za mlengo wa serikali pekee.

Mara ya mwisho walimtaka makubaliano yawekwe kwenye maandishi akasema wamwamini atafanya lakini kawalika kimanga.

Na msemaji wao wamemuumiza na wa kusema juu ya mgomo ni Olimboka atakapo pona ndio atatoa tamko kwa kuwa ndio msemaji wao.

Mkuu nadhani kajipange ulete hoja kama great thinker...mimi sijakupata na nahisi haya ni mawazo yako na sio ya madaktari.
 
Madaktari hawana imani tena na Waziri mkuu Pinda kwa sababu ni kigeugeu na mwongo na mazungumzo ya mara ya mwisho walivyokubaliana sio kama anavyouekeza umma na amekuwa mnafiki wa kupeleka hoja za mlengo wa serikali pekee.

Mara ya mwisho walimtaka makubaliano yawekwe kwenye maandishi akasema wamwamini atafanya lakini kawalika kimanga.

Na msemaji wao wamemuumiza na wa kusema juu ya mgomo ni Olimboka atakapo pona ndio atatoa tamko kwa kuwa ndio msemaji wao.

Source plz
 
Unatujazia server yetu tu wewe. Kwani kila mtua aanzishe thread ya kumhusu Dr. Ulimboka na Madaktari? Kuna Thread nying za kuchangia humu ziemeisha anzishwa, wewe changia. Kama una kitu kipya kweli ndo ulete! Mods angalieni hii makitu!
 
Bahati mbaya Bongo hakuna utamaduni wa aina hiyo. Kujiuzuru??? Subutu yakooooo. Ndio kwanza atazawadiwa na kuu wake kwa kazi nzuri ingawa haijafanikiwa sana kiviiiiile. Na mkuu ati anaenda kumtemebelea Ulimboka, subiri usanii atakaoenda naye pale. Mitanzania ndivyo tulivyo.
 
Ndo mana leo kaambiwa aachie ngazi na Tundu Lisu, bahati mbaya akachukia baada kuambiwa kauli hiyo! Amemtisha kwakumjibu "wrong approach"! Mana yake ni kwamba ati Tundu hakupashwa kuuliza hilo swali! Bi Mkora kama kawaida kajifanya anamtetea Pinda, lakini ukweli kausema! Big up Tundu! Mr Pinda yhe best way is you to resign as soon as possible!
Noana kila sikuu watu wataambiawa wa-resign, wata-resign watawekwa wapya nao wataonekana hawafai nao watashurutishwa, na matatizo yataendelea kuwepo palepale, madini yatendelea kuporwa na wawekezaji, umeme utaendelea kuwa wa shida na bei juu kila kukicha, maji ndo usiseme, foleni Dar hatusemi, Miundo mbinu ndo hiyo. So nionavyo tatizo Sio kujiudhuru ni mfumo tuliuridhi ambao pengine hauna memo ya kmwajibisha kiongozi na kiongozi akawaajibisha walio chini yake. so mtu anakuwa na uwezo wa kujisemea atanifanya nini? wote tunalindwa na katiba.

Zanzibar nao wanazitolea macho chenji ya rada hahaha? Bora Yesu arudi kabla hatujatamani milima iifunike dunia.

Maana Utu hakuna tena, Uzalendo umetoweka, Unyama ndio waunyemelea Utu.
 
Madaktari hawana imani tena na Waziri mkuu Pinda kwa sababu ni kigeugeu na mwongo na mazungumzo ya mara ya mwisho walivyokubaliana sio kama anavyouekeza umma na amekuwa mnafiki wa kupeleka hoja za mlengo wa serikali pekee.

Mara ya mwisho walimtaka makubaliano yawekwe kwenye maandishi akasema wamwamini atafanya lakini kawalika kimanga.

Na msemaji wao wamemuumiza na wa kusema juu ya mgomo ni Olimboka atakapo pona ndio atatoa tamko kwa kuwa ndio msemaji wao.

kuna kikao cha wataalam hawa afya wamekaa wakatoa tamko hili au ni wewe tu unawasemea? lete mada inayoeleweka na kujadilika!
 
Ilikuwa Blandina Nyoni na Deo Mtasiwa hawatakiwi, akafuatiwa Dr Mponda na Nkya hawataliwi sasa zamu ya Pinda naye hatakiwi. Busara itumike ili mgogoro huu uishe tuwaepushe wagonjwa na mateso na vifo ambavyo vingeweza kuepukika.
 
Mkuu ungetupatia sosi yake tungefurahi.Lakini ukweli ni kuwa Tanzania kuna mazoea ya watu kujifaidisha badala ya kusaidi
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom