Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Nafikiri kunahitajika kwa Chama cha Madaktari kuripoti story nzima wakianzia kwenye vyombo vya Ubalozi ,bila ya kuchelewa wafungue mashtaka pale Arusha ,huyo alietorokea S/Africa inawezekana kutrace tarehe alizoondokea nchini na siku ya tukio.
Washtakiwa wengine waliopo mikoani waorodheshwe na huyo alietambulika hapo hospitali awe nambari one ,kama kuna ushahidi wa kutosha ,hakuna cha kungojea.
Washtakiwa wengine waliopo mikoani waorodheshwe na huyo alietambulika hapo hospitali awe nambari one ,kama kuna ushahidi wa kutosha ,hakuna cha kungojea.