Madaktari bingwa Muhimbili Watangaza mgomo rasmi

Mie yangu ni maombi tu


tunaombea wazinzi na wanaofumaniwa na wake za watu...kwa issue kama hizi za kudeal na uchumi na maslahi ya watu na uboreshwaji wa huduma tunaangalia uhalisia wa mambo na serikali ikubali kufanya marekekebisho
 
ninachoamini ni kuwa kati ya hawa wawili wanaogimbana panatakiwa mmoja akae chini na kusema njoo tuzungumze lakini wakiendelea kutunishiana mikono ndo sisi tunazidi kupata shida
Waliotakiwa kufanya hvyo ni serikali bcs wao tuliwachagua watusimanie, na walikuja kutuomba na kutuhakhkishha mambo yatakuwa poa imekuwaje?
 
Wakati tunajadili haya yote! Tuna wafikiriaje wagonjwa waliopoteza maisha yao kutokana na huu mgomo? Au madaktari ndio wenye haki ya kuamua watu waishi au lah! Wakati tunampa pole ulimboka, tukumbuke kuna waliokufa pia. Mungu na azirehemu roho zao watu hawa wasio na mtetezi.

Wasio na mtetezi,kwani Mungu hayuko?Katika hili aliye na Yesu hatatetereka.Hata hivyo kosa kubwa tulilifanya pale Freemasons walipo tu-braiwash na kukubali kwamba miti shamba ni dawa za kishenzi.We are dancing to their tune now.Ni ngoma nzito.The only solution ni kurudia miti shamba yetu.I am there already na sina tatizo lolote.Kwanza wameweka sumu nyingi sana huko.To me madaktari ni collaborators katika kuimaliza humanity!
 
Ile hotuba aliandikiwa, hana muda wala interest ya kukaa chini na kufikiri. Akaisoma hivyo hivyo, word by word!

Subiri utasikia ameshauriwa vibaya


Yani itakuwa kila mara anapotoshwa tu? Hao wapotoshaji maarufu wamechaguliwaje kumshauri Rais? Au ndiyo kama Mnyika alivyobainisha kule Bungeni? Ni vijiswali tu najiuliza.
 
Nasikitika kwa sababu watanzania tumekaa kimya kama vile serikali haiwajibiki kutuhudumia, tutaedelea hivi hadi lini? Jamani tuungane na wanaharakati kutetea watanzania wenzetu, sio kwa hili la mgomo wa madaktari tuu, bali pamoja na mambo mengine mengi ambayo yanaenda ndivyo sivyo> swali tuanzeje? Nashauri tufikirie namna ya kuanza. Nawakilisha.
 
Mr.Dhaifu kwa hili umechemsha baba jipange upya, Tanzania ya leo siyo kama mnavyojidanganya,madaktari hakuna kurudi nyuma songa mbele na huo msimamo
 
Edwini Chitage katibu wa jumuiya madaktari.


Madaktari bigwa wagoma rasmi wamesema hawawezi kufanya kazi peke yao na wako tayari kwa lolote na wamesema liwalo na liwe. Hatuwezi kufanya kazi katika mazingira haya hatarishi na magumu

Wamedai Rais kapotosha umma na wamehoji iweje rais asikilize hoja za upande mmoja?

Kwa habari zilizopo wagonjwa hakuna na waliopo wodini wametelekezwa

sasahivi atataka kuongea na 'wazee' wa dar es salaam-DHAIFU KABISA!!!!
 
Tatizo la DHAIFU anafikiri hawa Madr walipata udaktari kama wa kwake ndo maana haoni umuhimu wa hawa watu, madr komaeni na hii serikali dhaifu ili itambue umuhimu wenu katika jamii ya Watz.
 
Nimeipenda hii movie, nafikiri sasa LIWALO NA LIWE, "DHAIFU" amechokoza nyuki kwenye mzinga, yeye anafikiri madaktari bingwa walifurahi jinsi serikali yao ilivyomdharirisha dokta ULIMBOKA!
Omba sana Mungu usipate ajali leo au kesho, nina uhakika utatamani hata ku- pause hiyo movie achilia mbali kuizima kabisa.
 
Serikali inapaswa irudi nyuma ijipange upya. Approach ya sasa haitaleta suluhu.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
What next? Ma-nurse?

Busara ya Spika ingeweza kusaidia sana kuepusha balaa linalotunyemelea watanzania sasa hivi.

Ushauri wangu kwa wabunge na hasa wale wa CCM someni alama za nyakati, tatueni hili tatizo kwa mbinu zinazokubalika kwa watanzania wa sasa. Report ya kamati ya huduma ya jamii iwekwe hadharani na bunge lijadili. Mchezo wa kuegemea mahakama utawagharibu sana. Tumieni akili kama watu wazima na mtatue matatizo ya msingi na sio kulamisha mambo kwa mgongo wa mahakama. Watanzania wamechoka na maisha magumu.

Kweli tupu mkuu,hata Mubaraka naye alitumia mahakama kama hii serikali yetu lakini leo yuko wapi?
 
Nimechoka na habari za madaktrari.....

na siwaungi mkono tena... LIWALO NA LIWE.
 
Haya ndiyo madhara ya kuiba kura za wapiga kura!! Haki ya mtu huwa haipotei inacheleweshwa tu! This is a wrong government, it wasn't suppose to be in the country office!
 
Edwini Chitage katibu wa jumuiya madaktari.


Madaktari bigwa wagoma rasmi wamesema hawawezi kufanya kazi peke yao na wako tayari kwa lolote na wamesema liwalo na liwe. Hatuwezi kufanya kazi katika mazingira haya hatarishi na magumu

Wamedai Rais kapotosha umma na wamehoji iweje rais asikilize hoja za upande mmoja?

Kwa habari zilizopo wagonjwa hakuna na waliopo wodini wametelekezwa


Yaani I have never be this happy tangia huu mgomo umeanza!! hebu angalia madaktari walivo-ARGUE na RAIS wetu

"Kutokana na ukweli huo basi kama mgonjwa anayeona kuwa hawezi kutibiwa katika hospitali ya Serikali bila kulala kwenye kitanda chake, bila kupata vipimo kupitia vifaa bora, bila kupata dawa na hayupo tayari kuona daktari hana vitendea kazi, awe huru kuachana na hospitali za serikali na kwenda kwenye hospitali zinazoweza kumuhudumia hivyo. Hana sababu ya kulalamika ili ashinikize kuboresha kwa miundombinu na vitendea kazi. Asisumbuke, hatapewa huduma hizo"
 
Wazee wa Dar-Es-Salaam, tunaomba sasa ndiyo mumuite Mh.Rais ili mumshauri aachane na ubabe wa kutunishiana misuli na Madaktari. Sisi watanzania tuliomuajiri ndiyo tunaoteseka na kupoteza maisha ambayo tungeweza kuhepuka. Chonde chonde jamani wazee wa Dar, labda nyinyi atawasikiliza kama mlivyokuwa mkimsikiliza.
 
Lawama tunazielekeza kwa mwajiri wa madaktari (serikali) ambaye sisi wananchi tumemwajiri na tunampa pesa (kodi)atuhakikishie uwepo wa huduma bora za afya. Kama hawezi kutatua matatizo na waajiriwa (madaktari) wake ni bora akatangaza kushindwa kazi ili tuajiri mwajiri mwingine wa madaktari atakayeweza hiyo kazi.

Ni kweli kabisa Tata. Kama Kikwete alivyowaambia madaktari kuwa kama wanaona mwajiri wao hawezi kuwatimizia matakwa yao, basi waache kazi, na sisi tumwambie kuwa ameshindwa kututimizia matakwa yetu sisi waajiri wake, hivyo aachie ngazi ili kutupa nafasi kuajiri serikali nyingine itakayofanya kazi kwa mujibu wa matakwa yetu sisi waajiri wake.
 
Wakati tunajadili haya yote! Tuna wafikiriaje wagonjwa waliopoteza maisha yao kutokana na huu mgomo? Au madaktari ndio wenye haki ya kuamua watu waishi au lah! Wakati tunampa pole ulimboka, tukumbuke kuna waliokufa pia. Mungu na azirehemu roho zao watu hawa wasio na mtetezi.

Kikwete kamwaga mboga wenzie Madr. wanamwaga Ugali.

Je, hapo nani wa kulala na njaa kama siyo watoto!!!!



MIZAMBWA
INANIUA SANA!!
 
Back
Top Bottom