Madaktari bingwa Muhimbili Watangaza mgomo rasmi

Wakati tunajadili haya yote! Tuna wafikiriaje wagonjwa waliopoteza maisha yao kutokana na huu mgomo? Au madaktari ndio wenye haki ya kuamua watu waishi au lah! Wakati tunampa pole ulimboka, tukumbuke kuna waliokufa pia. Mungu na azirehemu roho zao watu hawa wasio na mtetezi.
Roho za marehemu waliokufa katika varangati hili zinatakiwa ziililie serikali na siyo madaktari. Mwananchi ana mkataba na serikali yake kumpatia huduma muhimu za jamii ndiyo maana analipa kodi na siyo madaktari.
 
Chonde chonde jamani ,kwa nini watu wasikae pamoja na kuzugumza ?mimi naona ajabu sana kwani serekali na madactari wote ni binadamu tu na sio simba na binadamu kwamba watashindwa kuelewana .Jamani wagonjwa wanaenda wapi!kama sasa hospital hakuna anayetibu tuoneeni huruma jamani kwani 2015 ni mbali mno!kwa maendeleo ya nchi.
 
Lawama tunazielekeza kwa mwajiri wa madaktari (serikali) ambaye sisi wananchi tumemwajiri na tunampa pesa (kodi)atuhakikishie uwepo wa huduma bora za afya. Kama hawezi kutatua matatizo na waajiriwa (madaktari) wake ni bora akatangaza kushindwa kazi ili tuajiri mwajiri mwingine wa madaktari atakayeweza hiyo kazi.

Hawa sio waajiriwa, ni miungu watu. Wanaweka mikakati ya kuwepo milele. ni kama uongozi wa kifalme. Akitoka baba anaingia mtoto.
 
Jamani mimi ninampatia USHAURI wa bure Kikwete na serikali yake. Serikali na madaktari rudini kwenye meza ya majadiliano haraka sana. Serikali iseme nini kwa wakati huu inaweza kutoa kwa madaktari na madaktari mukubali kuchukia hicho ambacho serikali inaweza kutoa kwa sasa.

Vinginevyo hapa hakuna mshindi si madaktari, serikali wala sisi wananchi wanyonge tunaondelea kufa. Huu ni ushauri ambao hata huhitaji kuwa a rocket scientists kuona mantiki yake.
 
Wanachonifurahisha hapa ni "sababu ya kugoma" Wengine " wakati ma dr wakawaida wanadai maslai bora specialist wao aaah "hatuwezi kufanya kazi peke yetu" kwa hiyo wakiletewa watu watanya sio

wewe nawe upo kama sikio la kufa, kwa akili yako wataletewa toka wapi? how will they fit in the existing structure of the health services in Tanzania? Kuletwa mtoa huduma ni kitu kimoja na kuweza kufanya kazi ili kuziba pengo na aliyekuwepo ni kitu kingine. wake up! acha hizo propaganda pofu!
 
Kinachoniuma ni kua wagonjwa watakufa bila sababu serikali tuoneeni huruma wananchi wenu mnatuua hivi hivi. Akina lowasa wako nje wanakula maisha kwa hela za walalahoi ambao ndio mnawamaliza huku nyumbani
 
Wapi Kamanda msangi, chagonja, na ffu wote wakiongozwa na Dr Jk na Pinda na Nape wakatibu wagonjwa!! Bilashaka ni wasikivu
 
Mafahali wawili wakutanapo ziumiazo ni nyasi
dhaifu kumbuka gadafi alikuwa mtemi kuliko wewe lkn ona yaliyompata sisi nyasi uvumilivu utatushinda kabla ya 2015
 
I really like this so much, hii ndio njia pekee ya kumuondoa mkoloni mweusi...
Natamani sana hili vuguvugu liendelee kwenye kada nyingine kama vyuo vikuu n.k.
Maana kwa njia ya vyama vingi, wamekuwa wakiiba kura na kwa njia ya mapigano si nzuri kwa amani yetu...
Kilichobaki ni kutumia umuhimu wa taaluma zetu kuwaondosha kabisa hawa mabeberu!

Viva Tanzania!
 
Sasa inaelekea msitu wa Mabwepande utakuwa bussy zaidi kwenye kutega vitendawili vyake.
 
NOP!!!

Wakamatwe wote waelekezwe Mabwe Pande for TEETH AND NAILS DRILL ... Isnt this the government way of solving problem?
 
Wakati tunajadili haya yote! Tuna wafikiriaje wagonjwa waliopoteza maisha yao kutokana na huu mgomo? Au madaktari ndio wenye haki ya kuamua watu waishi au lah! Wakati tunampa pole ulimboka, tukumbuke kuna waliokufa pia. Mungu na azirehemu roho zao watu hawa wasio na mtetezi.

Kwa nini tunafikiri kufa kwa wagonjwa pekee wakati madaktari kila siku wanakufa polepole kwa kukosa vitendea kazi hili swala si la mzaha viongozi wetu wangekuwa na masikio wangekaa na hawa madaktari wakamalizana unajua kauli mali lakini unapoonyesha dharau za wazi na kuwafitinisha madaktari na wananchi wakati wewe ndio mwenye kosa kwa kweli inauma
 
Afya yangu DHAIFU ila Na Liwalo Liwe. Kudadadadadeki *in Lusinde's Voice*
 
Dhaifu will perfom his ritual services of threats and blames instead of work his dull mind for some solutions. If nurses happen to join hands then the conditions will so demand we go to absolutes i.e. dealing Dhaifu and his silly party to the decks.
 
MTIHANI MTIHANI MTIHANI.......

Jaza nafasi ilioachwa wazi?

1. dhaifu + liwalo na liwe = _____________
 
Back
Top Bottom