Madaktari 171 watakiwa kurudisha usajiri wao wa muda kutokana na mgomo (mcot)

Mzalendo JR

JF-Expert Member
Jun 6, 2012
1,193
515

[h=2]TAARIFA KWA UMMA[/h]Baraza la Madaktari Tanganyika limepokea malalamiko kutoka kwa Katibu Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwamba, baadhi ya Madaktari waliopata usajili wa muda ili kuwawezesha kufanya mafunzo kwa vitendo (Internship), waligoma kutoa huduma kwa wagonjwa kati ya tarehe 23 na 29 mwezi Juni 2012. Madaktari hao walipangiwa kutoa huduma kwa wagonjwa katika hospitali za Muhimbili, K.C.M.C, Rufaa Mbeya, Bugando, Amana, Temeke, St. Francis- Ifakara, Mwananyamala, Sekou Toure, Haydom na Dodoma. Kufuatia mgomo huo, uongozi wa hospitali husika uliwaandikia barua iliyomtaka kila daktari aliyeshiriki kwenye mgomo kuripoti kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii aliwasilisha malalamiko kwenye Baraza la Madaktari Tanganyika kwamba, Madaktari waliogoma walikataa kutoa huduma za kitaalamu, ikiwa ni wajibu wao, na kwamba kitendo hicho kilihatarisha maisha ya wagonjwa katika hospitali husika na pia ni kinyume na maadili ya taaluma ya udaktari.

Kufuatia malalamiko hayo, Msajili wa Baraza la Madaktari Tanganyika, alimwandikia kila daktari aliyelalamikiwa Taarifa ya Kusudio la Kufanya Uchunguzi (Preliminary Examination) dhidi yake, juu ya malalamiko yaliyowasilishwa na Katibu Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii..

Baraza la Madaktari Tanganyika limebaini kuwa, kwa mujibu wa kifungu cha 15(2) cha Sheria ya Madaktari, Sura ya 152, Madaktari waliokuwa kwenye mgomo na ambao kwa sasa wameondolewa katika hospitali walizokuwa wakifanya mafunzo kwa vitendo, wamepoteza sifa za kupata usajili wa muda (Provisional Registration).

Kwa kuzingatia masharti ya Sheria kuhusu kupata usajili wa muda, Baraza la Madaktari Tanganyika limeridhika kwamba madaktari wote ambao majina yao yameorodheshwa katika Taarifa hii, wamepoteza sifa na kwa sababu hiyo, usajili wao umesitishwa kuanzia tarehe 11 Julai, 2012. Madaktari wote wanaohusika wanatakiwa kurejesha hati za usajili wa muda kwenye Ofisi ya Msajili wa Madaktari kabla ya tarehe 17 Julai, 2012.






.


S/NO
JINA
REG. NO.

MUHIMBILI

1​
Dr. Dickson N. Sahini
363​
2​
Dr. Elphas G. Mrita
4902​
3​
Dr. Anastazia E. Komba
4973​
4​
Dr. Anna Lwemunge
5086​
5​
Dr. Mariam Amour
4974​
6​
Dr. Jackline Matowo
5372​
7​
Dr. Baya Kisiwa
4970​
8​
Dr. Lilian B. Komba
4871​
9​
Dr. Pavina Kazaura
5089​
10​
Dr. Herifrid Kimambo
5377​
11​
Dr. Kokuhabwa Mukurasi
5095​
12​
Dr. Evance Godfrey
5059​
13​
Dr. Emmanuel K. Luchagula
4874​
14​
Dr. Florence Mtei
5094​
15​
Dr. Alfonse Moyo
5097​
16​
Dr. Alkwinus Kabwogi
4889​
17​
Dr. Rebeca A. Kalikawe
4962​
18​
Dr. Aida O. Salum
5368​
19​
Dr. Aron Aron
5345​
20​
Dr. Sabza Masoud
4956​
21​
Dr. Ramadhani Kabota
4861​
22​
Dr. Norbert Benjamin

23​
Dr. Victroia Paul
5084​
24​
Dr. Godfery Chuwa
5097​
25​
Dr. Goodluck Mrosso
356​
26​
Dr. Luciana Albert
375​
27​
Dr. Gendagenda Mkombozi
372​
28​
Dr. Lucas Mselle
4919​
29​
Dr. Edna Mwakyembe
365​
30​
Dr. Haruna Rashid
552​
31​
Dr. Sara Lumumanji
5006​
32​
Dr. Paul Zacharia
4858​
33​
Dr. Abza Saka
4981​
34​
Dr. Baraka Maige
5361​
35​
Dr. Wilhelmuss I. Mauka
4979​
36​
Dr. Deogratius Mally
4960​
37​
Dr. Ahmad Fadhil Kombo
4868​
38​
Dr. Iman Bawazir
4799​
39​
Dr. Frank Kagoro
5046​
40​
Dr. Baraka Yessaya
5058​
41​
Dr. Naki Kiroga
5347​
42​
Dr. Bakari A. Gillal
4959​
43​
Dr. Linda August
5343​
44​
Dr. Shah Alkash
342​
45​
Dr. Chihoma Mhaki
358​
46​
Dr. Gloria Leo
337​
47​
Dr. Mohamed M. Ally

48​
Dr. Ahmed Kombo
5389​
49​
Dr. Steven Nandi
5030​
50​
Dr. Moses J. Karashani
5040​
51​
Dr. Innocent Mpuya
5371​
52​
Dr. Octar Javett
5048​
53​
Dr. Juma Mbugi
5018​
54​
Dr. Neema Nalitolela
4966​
55​
Dr. John Nkenda
4963​
56​
Dr. Ngutuni Jackson
5005​
57​
Dr. Malava F. Raphael
4982​
58​
Dr. Masawa Nyamunjeku
5000​
59​
Dr. Shubi Matovelo
4976​
60​
Dr. Winnie Temu
4965​
61​
Dr. Sarah Shiraz
5024​
62​
Dr. Hafsa Hawesi
5369​
63​
Dr. Anthony Kingilo
5330​
64​
Dr. Elikanaar Urio
5336​
65​
Dr. Zainabu Mkinde
5367​
66​
Dr. Shau Hamdan
5071​
67​
Dr. Cristogone Justine
4968​
68​
Dr. Conrade Ngonyani
4865​
69​
Dr. Deo B. Mwanakulya
4873​
70​
Dr. Lucy Laurent
4872​
71​
Dr. Khadija Juma
4969​
72​
Dr. Valentino Koja
5338​
73​
Dr. Aloyce F. Lengasia
4977​
74​
Dr. Zyleen Kasamali
4888​
75​
Dr. Mwajuma Mustapha
4971​
76​
Dr. Mariam Hamad
4859​
77​
Dr. Francis Mwimazi
4967​
78​
Dr. Hassan Barnabas
5364​
79​
Dr. Grace Mmasi
5045​
80​
Dr. Mohamed Mzige
4860​
81​
Dr. Elias Paschal
4961​
82​
Dr. Farida Mtonga
5002​
83​
Dr. Gabriel Mbwete
5337​
84​
Dr. Magdalena Dennis
4910​
85​
Dr. Ahmed Ahmed
4798​
86​
Dr. Joseph Shaban
5408​
87​
Dr. Prudence Premier
5409​
88​
Dr. Malaja Ng’wigulu
5019​
89​
Dr. Biswaro Malima
4975​
90​
Dr. Isaac Mlay
5007​
91​
Dr. Raymond Samwel
5017​
92​
Dr. Michael Kiremeji
5376​
93​
Dr. Viviene Mlawi
5000​
94​
Dr. John Jananga
5380​
95​
Dr. Said Ibrahim
5020​
96​
Dr. Alphonce Simbila
5047​
97​
Dr. Catherine Mlowe
5044​
98​
Dr. Barbara Mwaipola
4964​
99​
Dr. Joel J. James
5129​
100​
Dr. Bright Sangiwa
5053​
101​
Dr. Evance Alexander
4887​
102​
Dr. Martha Nkya
5335​
103​
Dr. Camilla Kinemo
5406​
KCMC

1​
Dr. Malkiadi P. Mbota
5208​
2​
Dr. Wilfred j. Meza
4900​
3​
Dr. Shomari O. Masenga
4983​
4​
Dr. Jamila J. Shemweta
5009​
5​
Dr. Godbless E. Massawe
5026​
6​
Dr. Rahel T. Mwavika
4879​
7​
Dr. Eliakimu P. Kapyolo
5032​
8​
Dr. Godfrey N. Barabona
5051​
9​
Dr. Aristides K. Raphael
4984​
11​
Dr. Emmanuel M. Manyonyi
5077​
12​
Dr. Herielly O. Msuya
5118​
14​
Dr. Noel J. Makundi
5142​
15​
Dr. Maxigama Y. Ndosi
5107​
16​
Dr. Patrick A. Karua
5137​
17​
Dr. George C. Mgalega
5155​
18​
Dr. Juma Adinan Juma
5151​
19​
Dr. Kenneth J. Mlay
5158​
20​
Dr. Njengo B. Mbanga
5145​
21​
Dr. Yesige A. Mutajwaa
5171​
22​
Dr. Mbazi D. Shemwetta
5139​
23​
Dr. Mwanaidi S. Mkwizu
5141​
24​
Dr. Peter E. Ng’wamkai
5109​
25​
Dr. Tumaini D. Ndibwire
5131​
26​
Dr. Lucas D. Ngamtwa
5161​
27​
Dr. Goodluck J. Ulomi
5143​
28​
Dr. Juma M. Nahonyo
5150​
29​
Dr. Emmanuel S. Masatu
4899​
30​
Dr. Angela E. Pallangyo
5110​
31​
Dr. Casto E. Mlay
5182​
32​
Dr. Birjna A. Hirani
5152​
33​
Dr. Anette J. Kessy
5178​
34​
Dr. Ester P. Lazaro
5190​
35​
Dr. Mugisha N. Nkoronko
5115​
36​
Dr. Sofia A. Ottaru
5146​
37​
Dr. Raya Y. Mussa
5132​
38​
Dr. Regina Y. Msanga
5148​
39​
Dr. Delfina R. Msanga
5147​
40​
Dr. Allen G. Kangarawe
5138​
41​
Dr. Sia C. Kiwia
5198​
42​
Dr. Peter E. Kipiki
5144​
43​
Dr. Avelina R. Kimaryo
5177​
44​
Dr. Peter F. Mwandiga
5075​
45​
Dr. Daimon B. Mwasamila,
5210​
46​
Dr. Emmanuel D. Lema
5185​
47​
Dr. Karungi J. Karoma
5130​
48​
Dr. Fortunatus m. Ibreck
5199​
49​
Dr. Sadiq S. Dawood
5121​
50​
Dr. Witness M. Mchwampaka
5186​
51​
Dr. Azza A. Naif
5111​
52​
Dr. Malkiadi P. Mbota
5208​
53​
Dr. Mariam T. Johari
5013​
54​
Dr. Daniel M. Chochole
5162​
55​
Dr. Oliver T. Masoy
5197​
56​
Dr. Gerald C. Robi
4927​
57​
Dr. Erasto S. Odindo
5229​
58​
Dr. Kasirye J. Collins
5243​
59​
Dr. George D. Dilunga
5239​
60​
Dr. Emmanuel S. Maro
5240​
61​
Dr. Irene R. Haule
5242​
62​
Dr. Godfrey A. Kisuma
5246​
63​
Dr. Frank M. Sudai
5231​
64​
Dr. Annette A. Marandu
5196​
65​
Dr. Joseph E. Soka

66​
Dr. Hans Mpimilwa

MBEYA REFFERAL

1​
Dr. Msafiri Lewanga
5069​
2​
Dr. Regan Rajuu
5224​



Source: Taarifa ya Baraza la Madaktari Tanganyika yenye majina ya Inters waliofutiwa usajili - ************************** wavuti
 

TAARIFA KWA UMMA

Baraza la Madaktari Tanganyika limepokea malalamiko kutoka kwa Katibu Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwamba, baadhi ya Madaktari waliopata usajili wa muda ili kuwawezesha kufanya mafunzo kwa vitendo (Internship), waligoma kutoa huduma kwa wagonjwa kati ya tarehe 23 na 29 mwezi Juni 2012. Madaktari hao walipangiwa kutoa huduma kwa wagonjwa katika hospitali za Muhimbili, K.C.M.C, Rufaa Mbeya, Bugando, Amana, Temeke, St. Francis- Ifakara, Mwananyamala, Sekou Toure, Haydom na Dodoma. Kufuatia mgomo huo, uongozi wa hospitali husika uliwaandikia barua iliyomtaka kila daktari aliyeshiriki kwenye mgomo kuripoti kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii aliwasilisha malalamiko kwenye Baraza la Madaktari Tanganyika kwamba, Madaktari waliogoma walikataa kutoa huduma za kitaalamu, ikiwa ni wajibu wao, na kwamba kitendo hicho kilihatarisha maisha ya wagonjwa katika hospitali husika na pia ni kinyume na maadili ya taaluma ya udaktari.

Kufuatia malalamiko hayo, Msajili wa Baraza la Madaktari Tanganyika, alimwandikia kila daktari aliyelalamikiwa Taarifa ya Kusudio la Kufanya Uchunguzi (Preliminary Examination) dhidi yake, juu ya malalamiko yaliyowasilishwa na Katibu Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii..

Baraza la Madaktari Tanganyika limebaini kuwa, kwa mujibu wa kifungu cha 15(2) cha Sheria ya Madaktari, Sura ya 152, Madaktari waliokuwa kwenye mgomo na ambao kwa sasa wameondolewa katika hospitali walizokuwa wakifanya mafunzo kwa vitendo, wamepoteza sifa za kupata usajili wa muda (Provisional Registration).

Kwa kuzingatia masharti ya Sheria kuhusu kupata usajili wa muda, Baraza la Madaktari Tanganyika limeridhika kwamba madaktari wote ambao majina yao yameorodheshwa katika Taarifa hii, wamepoteza sifa na kwa sababu hiyo, usajili wao umesitishwa kuanzia tarehe 11 Julai, 2012. Madaktari wote wanaohusika wanatakiwa kurejesha hati za usajili wa muda kwenye Ofisi ya Msajili wa Madaktari kabla ya tarehe 17 Julai, 2012.



A

.


S/NO
JINA
REG. NO.

MUHIMBILI


1​
Dr. Dickson N. Sahini

363​

2​
Dr. Elphas G. Mrita

4902​

3​
Dr. Anastazia E. Komba

4973​

4​
Dr. Anna Lwemunge

5086​

5​
Dr. Mariam Amour

4974​

6​
Dr. Jackline Matowo

5372​

7​
Dr. Baya Kisiwa

4970​

8​
Dr. Lilian B. Komba

4871​

9​
Dr. Pavina Kazaura

5089​

10​
Dr. Herifrid Kimambo

5377​

11​
Dr. Kokuhabwa Mukurasi

5095​

12​
Dr. Evance Godfrey

5059​

13​
Dr. Emmanuel K. Luchagula

4874​

14​
Dr. Florence Mtei

5094​

15​
Dr. Alfonse Moyo

5097​

16​
Dr. Alkwinus Kabwogi

4889​

17​
Dr. Rebeca A. Kalikawe

4962​

18​
Dr. Aida O. Salum

5368​

19​
Dr. Aron Aron

5345​

20​
Dr. Sabza Masoud

4956​

21​
Dr. Ramadhani Kabota

4861​

22​
Dr. Norbert Benjamin


23​
Dr. Victroia Paul

5084​

24​
Dr. Godfery Chuwa

5097​

25​
Dr. Goodluck Mrosso

356​

26​
Dr. Luciana Albert

375​

27​
Dr. Gendagenda Mkombozi

372​

28​
Dr. Lucas Mselle

4919​

29​
Dr. Edna Mwakyembe

365​

30​
Dr. Haruna Rashid

552​

31​
Dr. Sara Lumumanji

5006​

32​
Dr. Paul Zacharia

4858​

33​
Dr. Abza Saka

4981​

34​
Dr. Baraka Maige

5361​

35​
Dr. Wilhelmuss I. Mauka

4979​

36​
Dr. Deogratius Mally

4960​

37​
Dr. Ahmad Fadhil Kombo

4868​

38​
Dr. Iman Bawazir

4799​

39​
Dr. Frank Kagoro

5046​

40​
Dr. Baraka Yessaya

5058​

41​
Dr. Naki Kiroga

5347​

42​
Dr. Bakari A. Gillal

4959​

43​
Dr. Linda August

5343​

44​
Dr. Shah Alkash

342​

45​
Dr. Chihoma Mhaki

358​

46​
Dr. Gloria Leo

337​

47​
Dr. Mohamed M. Ally


48​
Dr. Ahmed Kombo

5389​

49​
Dr. Steven Nandi

5030​

50​
Dr. Moses J. Karashani

5040​

51​
Dr. Innocent Mpuya

5371​

52​
Dr. Octar Javett

5048​

53​
Dr. Juma Mbugi

5018​

54​
Dr. Neema Nalitolela

4966​

55​
Dr. John Nkenda

4963​

56​
Dr. Ngutuni Jackson

5005​

57​
Dr. Malava F. Raphael

4982​

58​
Dr. Masawa Nyamunjeku

5000​

59​
Dr. Shubi Matovelo

4976​

60​
Dr. Winnie Temu

4965​

61​
Dr. Sarah Shiraz

5024​

62​
Dr. Hafsa Hawesi

5369​

63​
Dr. Anthony Kingilo

5330​

64​
Dr. Elikanaar Urio

5336​

65​
Dr. Zainabu Mkinde

5367​

66​
Dr. Shau Hamdan

5071​

67​
Dr. Cristogone Justine

4968​

68​
Dr. Conrade Ngonyani

4865​

69​
Dr. Deo B. Mwanakulya

4873​

70​
Dr. Lucy Laurent

4872​

71​
Dr. Khadija Juma

4969​

72​
Dr. Valentino Koja

5338​

73​
Dr. Aloyce F. Lengasia

4977​

74​
Dr. Zyleen Kasamali

4888​

75​
Dr. Mwajuma Mustapha

4971​

76​
Dr. Mariam Hamad

4859​

77​
Dr. Francis Mwimazi

4967​

78​
Dr. Hassan Barnabas

5364​

79​
Dr. Grace Mmasi

5045​

80​
Dr. Mohamed Mzige

4860​

81​
Dr. Elias Paschal

4961​

82​
Dr. Farida Mtonga

5002​

83​
Dr. Gabriel Mbwete

5337​

84​
Dr. Magdalena Dennis

4910​

85​
Dr. Ahmed Ahmed

4798​

86​
Dr. Joseph Shaban

5408​

87​
Dr. Prudence Premier

5409​

88​
Dr. Malaja Ng'wigulu

5019​

89​
Dr. Biswaro Malima

4975​

90​
Dr. Isaac Mlay

5007​

91​
Dr. Raymond Samwel

5017​

92​
Dr. Michael Kiremeji

5376​

93​
Dr. Viviene Mlawi

5000​

94​
Dr. John Jananga

5380​

95​
Dr. Said Ibrahim

5020​

96​
Dr. Alphonce Simbila

5047​

97​
Dr. Catherine Mlowe

5044​

98​
Dr. Barbara Mwaipola

4964​

99​
Dr. Joel J. James

5129​

100​
Dr. Bright Sangiwa

5053​

101​
Dr. Evance Alexander

4887​

102​
Dr. Martha Nkya

5335​

103​
Dr. Camilla Kinemo

5406​


KCMC


1​
Dr. Malkiadi P. Mbota

5208​

2​
Dr. Wilfred j. Meza

4900​

3​
Dr. Shomari O. Masenga

4983​

4​
Dr. Jamila J. Shemweta

5009​

5​
Dr. Godbless E. Massawe

5026​

6​
Dr. Rahel T. Mwavika

4879​

7​
Dr. Eliakimu P. Kapyolo

5032​

8​
Dr. Godfrey N. Barabona

5051​

9​
Dr. Aristides K. Raphael

4984​

11​
Dr. Emmanuel M. Manyonyi

5077​

12​
Dr. Herielly O. Msuya

5118​

14​
Dr. Noel J. Makundi

5142​

15​
Dr. Maxigama Y. Ndosi

5107​

16​
Dr. Patrick A. Karua

5137​

17​
Dr. George C. Mgalega

5155​

18​
Dr. Juma Adinan Juma

5151​

19​
Dr. Kenneth J. Mlay

5158​

20​
Dr. Njengo B. Mbanga

5145​

21​
Dr. Yesige A. Mutajwaa

5171​

22​
Dr. Mbazi D. Shemwetta

5139​

23​
Dr. Mwanaidi S. Mkwizu

5141​

24​
Dr. Peter E. Ng'wamkai

5109​

25​
Dr. Tumaini D. Ndibwire

5131​

26​
Dr. Lucas D. Ngamtwa

5161​

27​
Dr. Goodluck J. Ulomi

5143​

28​
Dr. Juma M. Nahonyo

5150​

29​
Dr. Emmanuel S. Masatu

4899​

30​
Dr. Angela E. Pallangyo

5110​

31​
Dr. Casto E. Mlay

5182​

32​
Dr. Birjna A. Hirani

5152​

33​
Dr. Anette J. Kessy

5178​

34​
Dr. Ester P. Lazaro

5190​

35​
Dr. Mugisha N. Nkoronko

5115​

36​
Dr. Sofia A. Ottaru

5146​

37​
Dr. Raya Y. Mussa

5132​

38​
Dr. Regina Y. Msanga

5148​

39​
Dr. Delfina R. Msanga

5147​

40​
Dr. Allen G. Kangarawe

5138​

41​
Dr. Sia C. Kiwia

5198​

42​
Dr. Peter E. Kipiki

5144​

43​
Dr. Avelina R. Kimaryo

5177​

44​
Dr. Peter F. Mwandiga

5075​

45​
Dr. Daimon B. Mwasamila,

5210​

46​
Dr. Emmanuel D. Lema

5185​

47​
Dr. Karungi J. Karoma

5130​

48​
Dr. Fortunatus m. Ibreck

5199​

49​
Dr. Sadiq S. Dawood

5121​

50​
Dr. Witness M. Mchwampaka

5186​

51​
Dr. Azza A. Naif

5111​

52​
Dr. Malkiadi P. Mbota

5208​

53​
Dr. Mariam T. Johari

5013​

54​
Dr. Daniel M. Chochole

5162​

55​
Dr. Oliver T. Masoy

5197​

56​
Dr. Gerald C. Robi

4927​

57​
Dr. Erasto S. Odindo

5229​

58​
Dr. Kasirye J. Collins

5243​

59​
Dr. George D. Dilunga

5239​

60​
Dr. Emmanuel S. Maro

5240​

61​
Dr. Irene R. Haule

5242​

62​
Dr. Godfrey A. Kisuma

5246​

63​
Dr. Frank M. Sudai

5231​

64​
Dr. Annette A. Marandu

5196​

65​
Dr. Joseph E. Soka


66​
Dr. Hans Mpimilwa



MBEYA REFFERAL


1​
Dr. Msafiri Lewanga

5069​

2​
Dr. Regan Rajuu

5224​



Source: Taarifa ya Baraza la Madaktari Tanganyika yenye majina ya Inters waliofutiwa usajili - ************************** wavuti

Ahasante kwa taarifa.
Hivi Wizara ya Afya inwezaje kuwasiliana na watumishi wake kwa njia ya magazeti? huwa wana contact zao kwenye mafaili? au ndo njia pekee wanayoweza kutumia. Njiuliza tu.
 
Ahasante kwa taarifa.
Hivi Wizara ya Afya inwezaje kuwasiliana na watumishi wake kwa njia ya magazeti? huwa wana contact zao kwenye mafaili? au ndo njia pekee wanayoweza kutumia. Njiuliza tu.

Ninachojua hii ni TANZANIA ya mizengwe.
 
Aliyeandika waraka ni KONDAKTA wa daladala, baraza la madaktari haliwezi kuandika mambo hayo maana wanajua shida inayokabili TASNIA ya utabibu, kilichofanyika ni kudesign karatasi yenye nembo na kuandika, kama aliyeandika ni daktari basi anayo mapungufu tangu alipozaliwa.
 
Aliyeandika waraka ni KONDAKTA wa daladala, baraza la madaktari haliwezi kuandika mambo hayo maana wanajua shida inayokabili TASNIA ya utabibu, kilichofanyika ni kudesign karatasi yenye nembo na kuandika, kama aliyeandika ni daktari basi anayo mapungufu tangu alipozaliwa.

Nimelazimika kuiamini kwa kua kuna majina ya madaktari ambao nilisoma nao O'level na Advance level, wako katika mwaka wao wa internship, mmoja ni DR. BARAKA MAIGE (34-MUHIMBILI) na WILFRED J. MEZA (2-KCMC).
 
Back
Top Bottom