NABEEL SADIO
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 352
- 580
Mkuu imenibidi nicheke sana mbona uwoga umezidi sana kuelekea uchaguzi mkuuu je hatujawatendea haki wananchi wetu?Baada ya Gazeti la Jamvi la Habari kuandika habari iliyodai Zitto alikutana na Balozi wa Uingereza nyumbani kwa Balozi huyo,kuna barua mitandaoni(twitter) inayodaiwa kuwa ni ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini akiwaandikia barua ACT-Wazalendo akitaka wajieleze.
Kulingana na barua hiyo,Msajili anataka kupata ukweli wa madai hayo yaliyoandikwa na vyombo vya habari.
Tweet yenye barua hiyo(barua ya tarehe 12/06/2020) imekuwa retweeted na baadhi ya watu akiwemo Zitto mwenyewe.