Labia Mapunda
Member
- Dec 4, 2021
- 13
- 6
Kuna wafanyakazi wanadai mishahara yao katika kampuni inayotoa huduma ya chakula hospitali ya Mloganzila shilingi 23,887,000.00 na uongozi wa hospita umeombwa msaada mara kadhaa lakini hawajatoa ushirikiano wowote na kitendo hichi kinaichafua hospitali hii kwasababu ni ya Serikali na mzabuni wanapaswa kumsimamia ili alipe wafanyakazi mishahara yao.
Hivyo tunaomba wizara ya Afya na Waziri husika aweze kusaidia kutatua hili tatizo kwasababu taarifa anayo juu ya hili suala na wana jamii foram tunaomba mtusemee hili suala liweze kupatiwa ufumbuzi na limufikie mh Rais aone jinsi watu aliowateuwa wanavyoshindwa kutatua shida za wananchi wake asanteni sana.
Hivyo tunaomba wizara ya Afya na Waziri husika aweze kusaidia kutatua hili tatizo kwasababu taarifa anayo juu ya hili suala na wana jamii foram tunaomba mtusemee hili suala liweze kupatiwa ufumbuzi na limufikie mh Rais aone jinsi watu aliowateuwa wanavyoshindwa kutatua shida za wananchi wake asanteni sana.