JipuKubwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 2,311
- 2,324
Kwa vile nimetokea kumfahamu vizuri Erick Kabendera na kumfahamu vizuri Mzee Reginald Mengi, na wakati wa shauri hilo, mimi ndio nilikuwa Political Advisor to the British High Commissioner in Tanzania, hivyo I know for sure, Eric Kabendera testified the truth.Hata kama siyo lile naamini kuna watu hawakufurahi jamaa kuwatetea wale wazungu, sijui kwanini lakini nafahamu hata kama Marehemu Mengi hakufanya kitu, some one somewhere in the system hakupenda au kufurahishwa na utetezi wa kabendera kwa wazungu, na kumtosa muajiri wake na aliye aminika ni mzalendo number one. Hili huwa na lihisi ingawa ni ngumu kulitolea maelezo, ila my gut has always thought, all this could be associated with that.
Huyu jamaa anaonekana siyo mzalendo kwa kumruka Mengi, na mbaya zaidi alikuwa muajiri wake.
Ala kumbe?Kibinyo cha mabeberu hicho, sio mchezo lazima ulegee tu, kila mbabe ana mbabe wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpwa hata huyo anayewatuma ana kinga ya mwamvuli dhidi ya mvua sio upepo.Ndio ujinga wa hizi kazi aiseeee. Unafanya kumfurahisha Boss au kutekeleza maagizo ya Boss halafu anakuja kukugeuka. Lissu na Mbowe huwa wanawaambia hawa kenge kuwa mwenzenu ana kinga, wanajitia vichwa maji
Kitochi Original
Huu ni ukweli mtupu!Hao polisi huwa hawaamki tuu na kumbambikia mtu kesi, bali hutumwa!. Polisi na waendesha mashitaka wao wanatumwa tuu, hivyo wanatekeleza majukumu yao kwa mujibu wa ajira zao za kutii mamlaka.
You're absolutely right Mpwa. Ana mwamvuli wakati yanakuja mafuriko.Mpwa hata huyo anayewatuma ana kinga ya mwamvuli dhidi ya mvua sio upepo.
Hiyo kinga anayojidai nayo ina nguvu kulingana na atakaye ingia madarakani.
Mfano ni Rais wa Sudan Al bashir, wamemfunga na wamekubali kuwa wanamkabidhi ICC akapambane na kesi yake.
Duniani hakuna binadamu mbabe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana ina sura mbaya...kama.......Polisi wetu (baadhi si wote) akili zao wanazijua wenyewe wakishatumiwa wanabwagwa huku wakibeba laana zote na mikosi ya waliowatuma!!
Absolutely true by 100 percentMpwa hata huyo anayewatuma ana kinga ya mwamvuli dhidi ya mvua sio upepo.
Hiyo kinga anayojidai nayo ina nguvu kulingana na atakaye ingia madarakani.
Mfano ni Rais wa Sudan Al bashir, wamemfunga na wamekubali kuwa wanamkabidhi ICC akapambane na kesi yake.
Duniani hakuna binadamu mbabe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hawa watu ni kukosa akili na kujaa kiburi tuu.Absolutely true by 100 percent
Umeongea ukweli mtupu Chakaza kwa asilimia 100Na hawa watu ni kukosa akili na kujaa kiburi tuu.
Mungu akikujalia hadi kufikia kupata madaraka hayo, hata usiibe shilingi moja lakini ukatawala kwa haki na kuheshimu katiba na sheria una uhakika wa kuishi vizuri maisha yako yote wewe na familia yako.
Sasa upumbavu wa nini kujifanya mbabe, katili, mwizi na mwenye upendeleo?
Sent using Jamii Forums mobile app