Msisahau kutuma barua pepe tu kwa jamaa wale wa advisory board ya BAE kupinga serikali kupewa hizo pesa. Bahati mbaya wabunge hawa wamesahau ya kwamba watanzania wa kawaida hatutaki hela zipitie serikali bali ziende katika hizo hizo NGO at least zinaweza kuwafikia walengwa. Serikali wakawadai akina Chenge, Mkapa na Idrissa .