nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Jamaa haitwi Cyprian musiba,anaitwa MAAGI MULAGA ,jamaa huyu ni kilaza wa kutukuka kwani primary school alifeli mara tatu kipindi hicho anakaa Tabora nyumbani kwa marehemu kaka yake aliyekuwa Inspector wa polisi aitwaye Inspekta Masesa
Inspekta Masesa alifariki kwa ajali na hapo ikatokea mzozo wa ndugu kutaka kumrithi mke wa marehemu aliyekuwa mwalimu wa shule ya msingi magereza ya tabora aitwaye mwalimu Masesa
Ugomvi ulikuwa mkuwa katika ya Maagi(musiba) na kaka yao mkubwa aitwaye Mbukwinyo Mulaga wote wakiwa wanataka kumrithi mwanamama huyo ambaye alikataa kukubaliana na mila hizo za kipuuzi
Kitendo hicho kiliwakera vijana hao na wakaamua kuchukua kila kitu cha shemeji yao na kumuacha akiwa anahifadhiwa na wasamaria wema,mama huyo keshastaafu na karudi kijijini bunda huwa anasikia kichefuchefu sana akisikia hilo jina tena anashangaa eti watu wanamuita Cyrian Musiba.
Inspekta Masesa alifariki kwa ajali na hapo ikatokea mzozo wa ndugu kutaka kumrithi mke wa marehemu aliyekuwa mwalimu wa shule ya msingi magereza ya tabora aitwaye mwalimu Masesa
Ugomvi ulikuwa mkuwa katika ya Maagi(musiba) na kaka yao mkubwa aitwaye Mbukwinyo Mulaga wote wakiwa wanataka kumrithi mwanamama huyo ambaye alikataa kukubaliana na mila hizo za kipuuzi
Kitendo hicho kiliwakera vijana hao na wakaamua kuchukua kila kitu cha shemeji yao na kumuacha akiwa anahifadhiwa na wasamaria wema,mama huyo keshastaafu na karudi kijijini bunda huwa anasikia kichefuchefu sana akisikia hilo jina tena anashangaa eti watu wanamuita Cyrian Musiba.