Madai haya ya Zitto kama ni ya kweli, basi hii ni moja ya sababu kwanini sisi ni masikini na tutaendelea kuwa hivyo

Jamani nchi hii nani hajafulia sabuni za kigoma? Zile zenye rangi ya blue na nyeupe. Hivi mgeni akija kutoka kigoma cha kwanza unatizama kaja na mawese? Yeye angekuwa mfano akalima hata heka mia za mawese ingependeza sana
Kwahiyo kwakuwa mkoa kama Arusha unatoa madini ya Tanzanite basi lazima mbunge wa Arusha awe mfano kwa kuwa na mgodi au kuwa mchimbaji? Akili za wapi hizo?
 
Kwahiyo kwakuwa mkoa kama Arusha unatoa madini ya Tanzanite basi lazima mbunge wa Arusha awe mfano kwa kuwa na mgodi au kuwa mchimbaji? Akili za wapi hizo?
Ndo maana huwezi msikia Lema akilalamikia soko la Tanzanite liko wazi na sio tatizo. Sasa huyu kutwa nzima analalamika tuuuu na hakuna jitihada binafsi japo kidogo tuone kuwiwa kwake. Kaugeuza umasikini wa kigoma kuwa mtaji wa kisiasa
 
Ndo maana huwezi msikia Lema akilalamikia soko la Tanzanite liko wazi na sio tatizo. Sasa huyu kutwa nzima analalamika tuuuu na hakuna jitihada binafsi japo kidogo tuone kuwiwa kwake. Kaugeuza umasikini wa kigoma kuwa mtaji wa kisiasa
Kwahiyo Lema ni mchimbaji au anamgodi?
Huyu halalamiki anashauri Serikali kwa kutolea mifano.
 
Zitto amedai kuwa watu kutoka Malaysia walikuja nchini kwetu wakachukua mbegu za michikichi na kwenda kulima kwao na leo hii wanatuuzia sisi mafuta ya kula!l. Ajabu kabisa!

Niseme wazi tu tangu niliposikia kauli hii ya Zitto hakika inanipa shida sana pale ninapojaribu kuitafakari inatupa ujumbe gani sisi watanzania.

Tafsiri rahisi ya maneno haya ni kuwa, sisi kwa miaka mingi tumeshindwa kuwekeza katika kilimo ambacho kingezalisha malighafi kwa bidhaa za viwandani (processing industries) kisha tukazalisha bidhaa za viwandani ambazo zingetosheleza mahitaji yetu ya ndani na ziada tungeuza nje ya nchi na hivyo tungeingiza fedha nyingi za kigeni na hata shilingi yetu ingekuwa na thamani dhidi ya dollar na fedha nyingine za kigeni.

Najiuliza hivi sisi na Malaysia ni nani wenye ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo na yene mabonde na mito mingi inayofaa hata kwa kilimo cha umwagiliaji?

Hakika umaskini wetu ni wa kujitakia


Hli ni tatizo la waafrika wote, tu wajinga mno. Viongozi wetu wamekalia wizi tu na uwongo usio na hofu.
 
Yeye kama mbunge. Msomi, Kwa nini asilime shamba la michikichi na hamasisha watu kigoma kulima serekali ailimi
Mkuu ameanzisha mradi kwa kushilikiana na kampuni moja ya nje anasambaxa kigoma mbegu ya michikichi iliyoboreshw kwa bei rafiki ,nathibitisha aidha yeye ni moja ya wakulima wa michikichi wakubwa ,ofisi hiyo Ipo posta kigoma
 
Moja kasoro kubwa inayotumaliza Watanzania ni hii tabia ya wanasiasa kutudumuza kuwa kila kitu kifanywe ni (mwingine) na sio sisi wenyewe. Zitto is simply full of hot air. Yeye amefanya nini, amelima hata nusu eka ya mchikichiki? Anataka watu wa Kigoma WALETEWE WACHINA, WAARABAB, WAMERAKANI ETC kulima michikichiki? Kwanini asihamasiche watu wa Kigoma wakalima?
Zitto ni mkulima? Acheni kujitoa ufahamu bana!
 
Moja kasoro kubwa inayotumaliza Watanzania ni hii tabia ya wanasiasa kutudumuza kuwa kila kitu kifanywe ni (mwingine) na sio sisi wenyewe. Zitto is simply full of hot air. Yeye amefanya nini, amelima hata nusu eka ya mchikichiki? Anataka watu wa Kigoma WALETEWE WACHINA, WAARABAB, WAMERAKANI ETC kulima michikichiki? Kwanini asihamasiche watu wa Kigoma wakalima?
Zitto ana ekari18 ndugu ucbwatuke tu
 
Tatizo ni wenyeji!
Kulikuwa na wawekezaji Rufiji, walijenga shule, msikiti, na majengo mengi, yaani walimfanyia figisu mpaka majamaa yaka salimu amri na kuswepa!
Wenyeji wasipotaka maendeleo ni kazi bure!
 
Moja kasoro kubwa inayotumaliza Watanzania ni hii tabia ya wanasiasa kutudumuza kuwa kila kitu kifanywe ni (mwingine) na sio sisi wenyewe. Zitto is simply full of hot air. Yeye amefanya nini, amelima hata nusu eka ya mchikichiki? Anataka watu wa Kigoma WALETEWE WACHINA, WAARABAB, WAMERAKANI ETC kulima michikichiki? Kwanini asihamasiche watu wa Kigoma wakalima?
Hapo pana kazi, starting point imani potofu za umaskini!
Maendeleo huko ni ugonjwa mmbaya sana!
 
Mkuu kauli za kutupa shida wazalendo zipo nyingi. Hii inanikondesha mimi, TZ ni nchi pekee inayomiliki madini ya TANZANITE lakini India ndio inaongoza kwa mauzo soko la dunia, na huzimia zaidi nikiambia eti hata Kenya wanatupita kwa mauzo ya Tanzanite
 
Yeye kama mbunge. Msomi, Kwa nini asilime shamba la michikichi na hamasisha watu kigoma kulima serekali ailimi
Tunataka sera zitakazowezesha kilimo kukua na kuleta tija kwa taifa.Sio kwa budget ya 11 billion Kilimo,1 trillion tunawekeza kwenye ndege halafu tunajisibu na ngonjera nyingi za Kilimo.Kama nchi imeamua kukipa mgongo kilimo tusitegemee viwanda kwa porojo za Mwijage.
 
Sidhani kama hata wewe unajua tatizo lilipo. Hizi ndege haziwezi kuwa ndiyo sababu. Walipita ambao hawakununua ndege lakini walifanya nini?
At least hao wengine walijaribu kuja na sera kuhusiana na kilimo.Hata masoko ya ndani na nje yalipatikana.Awamu hii hata viongozi wake hawana mashamba.
 
Mkuu kauli za kutupa shida wazalendo zipo nyingi. Hii inanikondesha mimi, TZ ni nchi pekee inayomiliki madini ya TANZANITE lakini India ndio inaongoza kwa mauzo soko la dunia, na huzimia zaidi nikiambia eti hata Kenya wanatupita kwa mauzo ya Tanzanite
CCM ndio chanzo cha umasikini wa mtanzania.
 
Tatizo ni wenyeji!
Kulikuwa na wawekezaji Rufiji, walijenga shule, msikiti, na majengo mengi, yaani walimfanyia figisu mpaka majamaa yaka salimu amri na kuswepa!
Wenyeji wasipotaka maendeleo ni kazi bure!
Haya ni mambo ya kizamani siku hizi watu wamebadilika hivyo ni wakati wa serikali kuja na sera nzuri za kilimo kama kutoa ruzuku kwa wakulima, kusimamia utafiti na upatikanaji wa mbegu bora za mazao ya kilimo, n.k.
 
Zitto amekuwa mpotoshaji mkubwa wa mambo tofauti kwa kutumia siasa ya maneno sio vitendo tatizo wa wanaosoma mitandao hawajui lipi ni sahihi na lipi sio sahihi ilikuwa ni suala moja tu la kujiuliza. Je, michikichi ambayo yanaota kama uyoga kigoma Zitto kama kiongozi Mbunge kipindi cha nne sasa umeshiriki vipi katika kuhakikisha neema kwa wana kigoma kupitia taasisi mbali mbali duniani ukitilia maanani umaarufu wake? Sisi sote tunajua kwamba mafuta ni biashara na bidhaa hitajika kwa jamii swali Je, serikali inafanya biashara? Kama haijafanya Je, serikali haijaweka mazingira wezeshi ya kuhakikisha michikichi hiyo inakuwa faida kwa watu wa kigoma na nchi kwa ujumla. Michikichi kigoma haipo leo ipo zamani sio amamu hii ya Rais Magufuli ya miaka miwili ambayo ni kidogo sana Je, aliowarithi Magufuli hawakufanya wajibu wao? Lkn utetezi wa wafanyabiashara wasio waaminifu katika nchi hii umeanza lini?
 
At least hao wengine walijaribu kuja na sera kuhusiana na kilimo.Hata masoko ya ndani na nje yalipatikana.Awamu hii hata viongozi wake hawana mashamba.
Kilimo kwanza? Usanii mtupu! Tena hayo maeneo ndiyo yalikuwa ya kupiga deal basi. Kusafiri kwingi na kila aina ya ufujaji wa fedha. Bora huyo aliyenunua ndege.
 
Zitto amekuwa mpotoshaji mkubwa wa mambo tofauti kwa kutumia siasa ya maneno sio vitendo tatizo wa wanaosoma mitandao hawajui lipi ni sahihi na lipi sio sahihi ilikuwa ni suala moja tu la kujiuliza. Je, michikichi ambayo yanaota kama uyoga kigoma Zitto kama kiongozi Mbunge kipindi cha nne sasa umeshiriki vipi katika kuhakikisha neema kwa wana kigoma kupitia taasisi mbali mbali duniani ukitilia maanani umaarufu wake? Sisi sote tunajua kwamba mafuta ni biashara na bidhaa hitajika kwa jamii swali Je, serikali inafanya biashara? Kama haijafanya Je, serikali haijaweka mazingira wezeshi ya kuhakikisha michikichi hiyo inakuwa faida kwa watu wa kigoma na nchi kwa ujumla. Michikichi kigoma haipo leo ipo zamani sio amamu hii ya Rais Magufuli ya miaka miwili ambayo ni kidogo sana Je, aliowarithi Magufuli hawakufanya wajibu wao? Lkn utetezi wa wafanyabiashara wasio waaminifu katika nchi hii umeanza lini?
Ndio maana nchi hii chini ya ma-CCM haiendelei.Mna mentality za kijinga sana nyie.Unadhani bila kuwa na sera nzuri za kilimo kuna mabadiliko ya maana yatatokea? Ovyo kabisa nyie watu ambao ni masikini wa sare na masikini wa mawazo!
 
Back
Top Bottom