Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Je hii maana yake nini?
Kwa wiki kadhaa sasa shiling ya Tanzania imeendelea kupoteza thamani ikilinganishwa na dollar ya Marekani kwa speed ambayo si ya kawaida. Mpaka mwishoni mwa mwaka jana US$1 ilikuwa inacheza kwenye Tshs 1,300 lakini leo hii US$1 inacheza kwenye Tshs 1,460 -1,500. Hii si habari njema sana kwa uchumi wetu kwa sababu kila kitu kitapanda ukizingatia kuwa vitu vingi vinaagizwa nje ya nchi kwa kutumia (mafuta, bidhaa nyingi za maisha ya kila siku).
Je hii ni dalili nyingine ya kushindwa kwa serikali ya Kikwete?
Kwa wiki kadhaa sasa shiling ya Tanzania imeendelea kupoteza thamani ikilinganishwa na dollar ya Marekani kwa speed ambayo si ya kawaida. Mpaka mwishoni mwa mwaka jana US$1 ilikuwa inacheza kwenye Tshs 1,300 lakini leo hii US$1 inacheza kwenye Tshs 1,460 -1,500. Hii si habari njema sana kwa uchumi wetu kwa sababu kila kitu kitapanda ukizingatia kuwa vitu vingi vinaagizwa nje ya nchi kwa kutumia (mafuta, bidhaa nyingi za maisha ya kila siku).
Je hii ni dalili nyingine ya kushindwa kwa serikali ya Kikwete?