Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 740
- 855
Patric alikasirishwa kuambiwa "Dhaifu"
Kabisa, eti anamwita aliyemsomesha Dhaifu wa daraja D.Bora afungwe lakini katimiza majibu ya dharau nafikiri ndio yaliongeza chuki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha na jina DHAIFU jamaa halitaki kwanini asingejiita mwenyewe? in nduGUY toneKilichopelekea kifo cha huyo dada alimuita Patrick ni mtu wa daraja d na ni DHAIFU,
Jamaa kamaa Baba Jeni vile kakamatia mashine,Sema kazingua angeongezea hata tatu zifike hamsini
Hahahahahahahha. Dhaifu. Hili neno linatisha sana. Watu wanatoa mapovu balaa wakilisikia
Mjinga ndiyo aliwae. Inatakiwa tuwe makini na kila maamuzi tunayochukua kwa maana wazungu husema kuwa. ( incorrect assessment can cost your time, money and your happiness). Fanya assessment kabula ya kuchukua maamuzi. Amemuua aliyemukataa pia na yeye amepoteza muda, pesa na furaha yake na bado yupo mikononi mwa police pamoja na kupoteza hayo. Who is the loser?Sasa kwann wanakubaki mwanzoni. Kama mtu unajua huna future nae mbeleni. Mteme
Sent using Jamii Forums mobile app
All of themMjinga ndiyo aliwae. Inatakiwa tuwe makini na kila maamuzi tunayochukua kwa maana wazungu husema kuwa. ( incorrect assessment can cost your time, money and your happiness). Fanya assessment kabula ya kuchukua maamuzi. Amemuua aliyemukataa pia na yeye amepoteza muda, pesa na furaha yake na bado yupo mikononi mwa police pamoja na kupoteza hayo. Who is the loser?
Mjinga ndiyo aliwae. Inatakiwa tuwe makini na kila maamuzi tunayochukua kwa maana wazungu husema kuwa. ( incorrect assessment can cost your time, money and your happiness). Fanya assessment kabula ya kuchukua maamuzi. Amemuua aliyemukataa pia na yeye amepoteza muda, pesa na furaha yake na bado yupo mikononi mwa police pamoja na kupoteza hayo. Who is the loser?
Wema kwa mtu aliyechezea maisha yako ni unafiki hata maandiko yanakataa, Ukisoma kitabu cha
Ha ha ha ha na jina DHAIFU jamaa halitaki kwanini asingejiita mwenyewe? in nduGUY tone
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah! Wakurya hatare!Kamuua kifo kirahisi hivyo..angemfukia MZIMA MZIMA afie huko ndani ya shimo....Mi ndo mana wadudu kama nnzi wakinikera nikimdaka mmoja huwa sim pigi kofi afe..Namdaka natoa miguu yote natoa mabawa Yote halafu namwachia akajitaftie maisha.
Yani hata wadudu kama mmbu kuwa ua na HIT au RUNGU tunawapendelea sana,wanakera mno Raha ni kudaka kuwatoa mabawa na kuwa acha wapambane na hali zao.
Safi sana ndugu Patrick Oita Nyapara ..umekosea tu kumrahisishia Kifo Huyo angetakiwa afe taratiiiibu huku akikumbuka alokufanyia.