figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,853
Upo ndani ya usafiri umekaa seat moja na mdada mrembo.unaamua kuvunja ukimya.cha ajabu wewe unamuongelesha kwa upole mwenyewe anajibu kwa kupayuka hadi abilia wenzenu wanawageukia.unamuomba namba ya simu anakujibu sina simu wakati unaiona.baada ya mda anakuambia labda unipe wewe namba yako nikubeep.unampa.kesho yake unampigia anakuuliza nani?baada ya kujitambulisha unasikia; ahaa..mambo baby..bora umenipigia yani simu yangu inasoma zero na kuna mtu nashida naye..tumie vocha..mpenzi sorry!
ACHA ULOCAL.mia
ACHA ULOCAL.mia