Madada acheni tabia za kilocal

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,853
Upo ndani ya usafiri umekaa seat moja na mdada mrembo.unaamua kuvunja ukimya.cha ajabu wewe unamuongelesha kwa upole mwenyewe anajibu kwa kupayuka hadi abilia wenzenu wanawageukia.unamuomba namba ya simu anakujibu sina simu wakati unaiona.baada ya mda anakuambia labda unipe wewe namba yako nikubeep.unampa.kesho yake unampigia anakuuliza nani?baada ya kujitambulisha unasikia; ahaa..mambo baby..bora umenipigia yani simu yangu inasoma zero na kuna mtu nashida naye..tumie vocha..mpenzi sorry!
ACHA ULOCAL.mia
 
Upo ndani ya usafiri umekaa seat moja na mdada mrembo.unaamua kuvunja ukimya.cha ajabu wewe unamuongelesha kwa upole mwenyewe anajibu kwa kupayuka hadi abilia wenzenu wanawageukia.unamuomba namba ya simu anakujibu sina simu wakati unaiona.baada ya mda anakuambia labda unipe wewe namba yako nikubeep.unampa.kesho yake unampigia anakuuliza nani?baada ya kujitambulisha unasikia; ahaa..mambo baby..bora umenipigia yani simu yangu inasoma zero na kuna mtu nashida naye..tumie vocha..mpenzi sorry!
ACHA ULOCAL.mia

safi sana me ningeomba vocha alafu ningekueleza matatizo yangu yote na mpaka ya ndugu zangu kijijini hiyo then utaamua kusuka au kunyoa ndo dawa wanaume kutongoza wanawake mmefanya kama ni promotion eheeeeeeee
 
kawadanganye madada uliozaliwa nao tumbo mmoja wasiwe na ulocal ujionee kama hata mmoja atafika form six
 
Upo ndani ya usafiri umekaa seat moja na mdada mrembo.unaamua kuvunja ukimya.cha ajabu wewe unamuongelesha kwa upole mwenyewe anajibu kwa kupayuka ..

Sababu kubwa ni kuwa wanaume wengi kama mimi na wewe ..tumewadanganya hawa kina dada hadi kujishusha thamani yetu. Mara nyingi akili ya mwanaume inakimbilia kwenye ..between the legs..

Dalili ya mvua ni mawingu.. Ukiona mdada kakustukia..Kaa kimya..siyo lazima kulazimisha uhusiano..
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom