FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,081
- 1,338
Kama picha zinavyojieleza, mlimbwende huyu atinga kwa mjengo kwa mwaliko maalumu..
Kwa kasi hii ya awamu ya tano, inayoongozwa na kiongozi makini, akisaidiwa na watu makini kama Prof Kabudi, Job Ndugai, Paul Makonda, bila kuwasahau viongozi makini chamani kama Polepole na Musiba, kwa hakika Mlimbwende huyu ataongeza chachu ya maendeleo nchini..
Hizi ni baadhi ya picha zake kwa wasiomjua..
Karibu mjengoni na chamani Madaam..
Kwa kasi hii ya awamu ya tano, inayoongozwa na kiongozi makini, akisaidiwa na watu makini kama Prof Kabudi, Job Ndugai, Paul Makonda, bila kuwasahau viongozi makini chamani kama Polepole na Musiba, kwa hakika Mlimbwende huyu ataongeza chachu ya maendeleo nchini..
Hizi ni baadhi ya picha zake kwa wasiomjua..
Karibu mjengoni na chamani Madaam..