Madaam Poshy, mbunge mtarajiwa atinga mjengoni

FirstClass

JF-Expert Member
Dec 29, 2016
1,081
1,338
Kama picha zinavyojieleza, mlimbwende huyu atinga kwa mjengo kwa mwaliko maalumu..

Kwa kasi hii ya awamu ya tano, inayoongozwa na kiongozi makini, akisaidiwa na watu makini kama Prof Kabudi, Job Ndugai, Paul Makonda, bila kuwasahau viongozi makini chamani kama Polepole na Musiba, kwa hakika Mlimbwende huyu ataongeza chachu ya maendeleo nchini..

Hizi ni baadhi ya picha zake kwa wasiomjua..

Karibu mjengoni na chamani Madaam..

FB_IMG_1560859196607.jpeg
tapatalk_1558490236893.jpeg
tapatalk_1558490224895.jpeg
 

Km picha zinavyojieleza, mlimbwende huyu atinga kwa mjengo kwa mwaliko maalumu..

Kwa kasi hii ya awamu ya tano, inayoongozwa na kiongozi makini, akisaidiwa na watu makini km Prof Kabudi, Job Ndugai, Poul Makonda, bila kuwasahau viongozi makini chamani km Polepole na Musiba, kwa hakika Mlimbwende huyu ataongeza chachu ya maendeleo nchini..

Hizi ni baadhi ya picha zake kwa wasiomjua..

Karibu mjengoni na chamani Madaam..View attachment 1130743View attachment 1130745View attachment 1130746
 
Wanataka kukabenjua tu haka na tako lake FAKE la mchina.
Yaani mpaka hapo washambanjua,yaani watu wapuuzi wapuuzi wa instagram wanaenda bungeni.

Sehemu kama Bunge inatakiwa waende watu waliofanya makubwa kwa nchi yetu ili,uwa-inspire vijana kufanya vikubwa wewe mpaka wauza K wanaenda bungeni,nina uhakika huyu atakuwa mgeni wa mbunge wa CCM.

Alafu CAG akiwaambia bunge dhaifu spika anaanza kumaindi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom